Polisi Waendelea Kuimarisha Ulinzi Nchini Kuelekea Sikukuu – Video
Polisi Waendelea Kuimarisha Ulinzi Nchini Kuelekea Sikukuu – Video – Global Publishers Home Habari Polisi Waendelea Kuimarisha Ulinzi Nchini Kuelekea Sikukuu – Video
Polisi Waendelea Kuimarisha Ulinzi Nchini Kuelekea Sikukuu – Video – Global Publishers Home Habari Polisi Waendelea Kuimarisha Ulinzi Nchini Kuelekea Sikukuu – Video
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba 22, 2025. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha malezi bora ya watoto na kuzuia vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na makundi maalum, ikisisitiza kuwa…
AFRICA CUP OF NATIONS( AFCON) 2025 haya ni mashindano ya soka barani Africa ambayo yanatarajiwa kufanyika huko nchini Morocco kuanzia tarehe 21 Desemba 2025 hadi 18 Januari 2026 ambapo timu mbalimbali zimejiandaa kwaajili ya kuhakikisha wanachukua Kombe hili. Muundo wa mashindano haya upo kwenye Makundi ambapo timu 24 ndio ambazo zimefuzu kushiriki michuano hii ambapo…
Dar es Salaam, 22/12/2025 Akiba Commercial Bank Plc (ACB) today donated essential medical items to Mwananyamala Government Hospital as part of its end-of-year festive season initiatives aimed at supporting communities and enhancing public welfare. During the event, Head of Marketing and Communications, Dora Saria, emphasized the Bank’s commitment to giving back to society and supporting…
WAPENZI wa michezo ya kasino, Meridianbet imekuja na ofa inayotoa burudani ya kiwango cha juu, Trick or Treat Bonanza. Huu ni mchezo unaokufungua mlango kuelekea ulimwengu uliojawa na vishawishi vya ajabu, na nafasi ya ushindi mkubwa. Jiandae kwa safari inayochanganya starehe na uwezekano mkubwa wa kushinda. Vuka hadi kwenye kasino yenye mandhari maridadi ya haunted…
Dar es Salaam. Katika jamii ya kisasa inayokabiliwa na changamoto za kiuchumi, kijamii na kiutu, maisha ya kujali wengine wakati wa sikukuu ya Krismasi yameendelea kutajwa kuwa nguzo muhimu ya mshikamano na utu. Hata hivyo, baadhi ya watu wanahoji kuwa mwenendo huo wakati mwingine hujaa maigizo na hauakisi ipasavyo uhalisia wa maisha ya kila siku….
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV-Bagamoyo WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) pamoja na Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) wameingia mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kutoa Mafunzo ya Muda mfupi kwa Watendaji na Watumishi wa sekta ya elimu. Waliotia saini makubaliano ya mkataba huo ni Mtendaji Mkuu wa ADEM Dkt. Maulid Maulid na…
Meridianbet Yaifanya Trick or Treat Bonanza Tamasha la Ushindi Wa Kipekee – Global Publishers Home Burudani Meridianbet Yaifanya Trick or Treat Bonanza Tamasha la Ushindi Wa Kipekee
Dar es Salaam. Wananchi wa Mtaa wa Shimo la Udongo Kata ya Kurasini wilayani Temeke, waliokuwa wamezika ndugu zao katika makaburi ya Bongulo wameanza kulipwa fedha kwa ajili ya kuhamishwa huku udanganyifu ukitawala. Makaburi hayo zaidi ya 4,000 yatahamishwa kupishwa ujenzi wa bandari kavu inayojengwa na mwekezaji, huku kila moja likilipwa Sh300,000. Hatua hiyo inakuja…
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu adhabu ya kulipa faini ya Sh15 milioni au kwenda jela, wanafunzi watatu wa vyuo vikuu vitatu tofauti nchini, waliokuwa na kesi ya kumpiga na kumjeruhi mwanachuo mwenzao, baada ya kutiwa hatiani kwa makosa saba likiwemo la kutishia kuua na kusambaza taarifa za uongo. Waliohukumiwa adhabu hiyo…