DKT. KIJAJI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA WIZARA

…………. Na Sixmund Begashe, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kijaji, amekutana na Menejimenti ya Wizara pamoja na wataalamu kutoka idara na vitengo mbalimbali vya Wizara hiyo, kwa lengo la kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli za Wizara na kujenga uelewa wa pamoja kuhusu maendeleo ya sekta ya uhifadhi na utalii nchini….

Read More

Latra yaonya wanaolipisha leseni bila kibali

Songwe. Mamlaka y Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imepiga marufuku watu wanaochukua tenda za kulipisha leseni za bajaji na pikipiki kufanya msako wa kuwakamata wasiolipa leseni na kuwatoza fedha zinazodaiwa kuwa ni rushwa. Ikieleza hakuna sheria inayowaruhusu kufanya hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na ofisa wa sheria kutoka Latra,  makao makuu Dodoma, Martha Ngaga kwenye semina…

Read More

DC SUMAYE AIPONGEZA TFS KUANDAA MAGAMBA WALKATHON

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MKUU wa wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Zephania Sumaye ameipongeza Hifadhi ya Mazingira Asili ya Magamba wilayani Lushoto kwa kuandaa matembezi y Magamba Walkathon ambayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa kuendelea kutangaza vivutio vya Utalii vilivyopo wilayani Lushoto ikiwemo hifadhi hiyo.Sumaye aliyasema hayo mara baada ya kushiriki mbio hizo ambazo zilikuwa za…

Read More

Ajali za moto zilivyotikisa wafanyabiashara 2025

Dar es Salaam. Majanga ya moto yameendelea kuwa mzigo kwa wafanyabiashara nchini mwaka 2025, kutokana na kuongezeka kwa matukio katika maeneo mbalimbali ya biashara, hususan katika majengo ya biashara ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam na maeneo mengine mikoani. Eneo la Kariakoo, linalotambulika kama kitovu cha biashara, kwa mwaka huu limekumbwa na matukio mengi ya…

Read More

Ouma matumaini kibao Mapinduzi 2026

KOCHA msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 wanaibeba kwa ukubwa kwa kuitumia kwa ajili ya kuiweka timu katika ubora tayari kwa michuano ya kimataifa. Singida BS ni kati ya timu 10 zitakazoshiriki michuano hiyo ya Mapinduzi itakayoanza Desemba 28 na kufikia tamati Januari 13 mwakani, huku ikiwa…

Read More

CRDB yatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi

Dar es Salaam. Wanafunzi watatu kutoka shule tofauti jijini Dar es Salaam wameshinda ufadhili wa masomo kutoka Benki ya CRDB katika msimu wa pili wa Tamasha la Watoto lililoandaliwa na Kids’ Holiday Festival, lililofanyika jijini hapa. Katika msimu huu, Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Kids’ Holiday Festival imeendelea kutoa elimu ya fedha kwa watoto…

Read More

Wananchi watakiwa kudumisha amani, mshikamano

Unguja. Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Suleiman Masoud Makame amewahimiza wananchi kuzingatia usafi wa mazingira yanayowazunguka kwani ni miongoni mwa vipaumbele muhimu vya nchi. Waziri Makame ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Desemba 22, 2025 Mahonda, mjini Unguja alipokuwa    akizindua shughuli za usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za maadhimisho ya miaka…

Read More