Jalada aliyemjeruhi mumewe kwa kumkata uume latua NPS

Arusha. Jalada la mashtaka kuhusu tuhuma zinazomkabili Anna Melami anayedaiwa kumjeruhi mumewe kwa kumkata uume, limepelekwa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) kwa hatua zaidi. Anna anatuhumiwa kumjeruhi mumewe, Baraka Melami (40), usiku wa Novemba 19,2025 walipokuwa wamelala nyumbani kwao katika Kijiji cha Olevolosi,Kata ya Kimnyaki wilayani Arumeru. Melami alidai usiku wa  saa saba kasoro…

Read More

Mpole aanika ‘code’ ya mastraika

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba Jiji, George Mpole ametaja sababu ya washambuliaji wa ndani kushindwa kuwa na mwendelezo wa ubora, huku akiweka wazi nyota wa kigeni wanabebwa na viongozi na mashabiki. Mpole ambaye kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumalizana na Pamba Jiji na anahusishwa na Tanzania Prisons, amesema tayari ameanza kupokea ofa kutoka…

Read More

Akiba Commercial Bank Plc Launches “Twende Kidijitali, Miamala Yako, Ushindi Wako!” Festive Season Campaign

AKIBA Commercial Bank Plc  has launched “Twende Kidijitali,  Miamala Yako, Ushindi Wako!”, a festive season campaign designed to promote the adoption of digital banking platforms and reward customers for their continued engagement. The initiative encourages customers to increase transactions through ACB’s VISA, Mobile Banking and Internet Banking platforms while fostering financial inclusion and strengthening customer…

Read More

Sure Boy afagilia mechi za ‘ndondo’

KIUNGO wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ amesema mabonanza yanayofanywa na wachezaji kipindi cha mapumziko ya Ligi Kuu Bara ni chachu ya kuboresha ushindani na kuwakutanisha pamoja. Sure Boy alifunguka hayo muda mchache baada ya mechi ya hisani ya Magomeni Foundation ililofanyika kwenye Uwanja wa Mzimuni Magomeni, iliyowakutanisha wachezaji wanaocheza Ligi Kuu na Magomeni Combain….

Read More

Mauwasa yaanza kurejesha vyanzo vya maji New Sola

Maswa. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Maswa (Mauwasa) imeanza kuchukua hatua za kurejesha maeneo yote yaliyovamiwa na shughuli za kibinadamu katika baadhi ya vyanzo vyake vya maji, ikiwemo mito iliyochepushwa. Vyanzo hivyo hupeleka maji katika bwawa la New Sola, ambacho ni chanzo kikuu cha maji kwa wakazi wa mji wa Maswa. Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

ZFDA yakamata kilo 1,232 za nyama iliyoisha muda wake

Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imekamata kilo 1,232 za nyama zilizoisha muda wake kwenye moja ya vyumba vya kuhifadhia bidhaa hiyo katika Kampuni ya JM Investment iliyopo Fuoni Ijitimai, Mkoa wa Mjini Magharibi. Miongoni mwa kilo hizo, vipo vipapatio vya kuku boksi 55, kuku paketi 254, vidali vya kuku paketi 58 na…

Read More

DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO

Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) anayehusika na Programu, Bi. Patricia Safi Lombo, ambapo wamejadili kuhusu namna ya kuendeleza ushirikiano kati ya Serikali na Shirikika hilo hususan maendeleo…

Read More