WARAKA WA PILI WA UMOJA WA KIISLAMU TANZANIA (UWAKITA) KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA OKTOBA 29 NA JARIBIO LA MAANDAMANO DISEMBA 9, 2025, KWA UFAFANUZI WA KISHERIA NA KIKATIBA

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu (Allah S.W.T), Mwingi wa Rehema, Mwenye KurehemuYeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.  Humpa ufalme amtakaye na humwondolea amtakaye, humruzuku amtakaye bila ya hisabu na huwakadiria wengine riziki zao kwa hikima Yake. Yeye pekee ndiye anayestahili kuabudiwa, kutegemewa, kushukuriwa na kuombwa msaada katika kila jambo. UTANGULIZI Swali…

Read More

ULEGA ATOA MAELEKEZO MAPYA BARABARA YA AMANI MAKORO

………… Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wakandarasi kuweka kipaumbele cha utu na kuondoa kero kwa wananchi kila wanapopewa kazi za ujenzi hapa nchini kwani huo ndio mwelekeo wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.  Akizungumza mkoani Ruvuma, Ulega amesema kila kwenye kazi ya ujenzi, ni muhimu kwa mkandarasi kufanya kwanza mambo yatakayorahisisha maisha ya…

Read More

TANZANIA, INDIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUENDELEZA TIBA ASILI, WHO YAPONGEZA

Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) juu ya ushirikiano kwenye Sekta ya Afya ili kuendeleza tiba asilia (Ayurveda), huku Tanzania ikiwakaribisha wawekezaji kutoka sehemu mbali mbali duniani kuja  kuwekeza na kuwahakikishia  kuwapatia mazingira mazuri ya uwekezaji. Utiwaji saini huo kwa upande wa Serikali ya Tanzania umefanywa na Waziri wa Afya wa…

Read More

TAEC : WATAALAM ZINGATIENI MATUMIZI SAHIHI YA MIONZI

WATAALAM wa huduma za mionzi Katika vituo vya Afya wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya mionzi ili kuepuka kiwango kikubwa kinachoweza kuleta madadhara kwa wagonjwa na wataalam husika.  Rai hiyo imetolewa na 19 desemba 2025 Peter Pantaleo Kaimu Mkuu Ofisi ya Kanda ya Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania kwa wataalama wa Radiolojia zaidi ya 90…

Read More

Rwanda yafunga makanisa ya kiinjili zaidi ya 10,000

Serikali ya Rwanda imeyafunga zaidi ya makanisa 10,000 ya kiinjili nchini humo baada ya kushindwa kufuata sheria ya mwaka 2018 iliyowekwa kudhibiti maeneo ya ibada. Rwanda ilianzisha sheria mpya kuhusu afya, usalama na ufichuzi wa kifedha na inawataka wahubiri wote kuwa na mafunzo ya kitheolojia. Rais Paul Kagame ameendelea kuwa na msimamo mkali dhidi ya…

Read More

KASEKENYA AITAKA TAINROADS NA TECU KUHAKIKISHA BARABARA ZA RUNGWE ZINAKAMILIKA KWA WAKATI.

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amemtaka Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoani Mbeya kushirikiana na mhandisi mshauri TECU kumsimamia mkandaradi CRBC anaejenga barabara za Mbaka-Kibanja km 20.7 na Katumba-Lupaso km 35.3 ili zikamilike kwa wakati. Amesema hayo leo alipokagua ujenzi wa barabara ya Katumba-Mbambo-Tukuyu km 79.4 wilayani Rungwe. “Hakikisheni ujenzi unaendelea…

Read More

Askofu Bagonza ataja ‘sumu’ tano kwenye maridhiano

Dar es Salaam.  Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema kuna uhitaji mkubwa wa maridhiano ya kweli ili kuliunganisha Taifa na kurejesha mshikamano huku akibainisha mambo matano aliyoyataja kuwa ni ‘sumu’ inayopaswa kuepukwa katika mchakato huo. Askofu Bagonza ametaja sumu hizo kuwa ni matumizi ya hila, kutafuta…

Read More

DKT MWIGULU: TUACHE TABIA YA KUZOEA MATATIZO

*Afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Wilaya Nachingwea WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya watendaji na watumishi wa umma waache tabia ya kuzoea matatizo hasa katika sehemu zinazotoa huduma kwa wananchi. Ametoa onyo hilo jana (Jumapili, Desemba 21, 2025) wakati akizungumza na wagonjwa na watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi alipofanya ziara…

Read More