FAMILY DAY 2025 YA MGODI WA BARRICK BULYANHULU YAKUTANISHA FAMILIA ZA WAFANYAKAZI NA JAMII KUFURAHI PAMOJA

Kaimu Meneja Mgodi wa Barrick Bulyanhulu  Leon Ebondo akizungumza wakati Barrick Bulyanhulu Family Day Mgodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu uliopo katika halmashauri ya wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga umeandaa tukio la Family Day 2025, ambalo limekutanisha mamia ya wanafamilia wa wafanyakazi wa Mgodi huo ,viongozi wa Serikali na vijiji vinavyozunguka mgodi  na wakazi wa…

Read More

WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala. Mhe. Dkt Akwilapo ambaye yuko ziarani mkoani Mtwara amemueleza Kanali Sawala juhudi za wizara yake katika kushughulikia changamoto za sekta…

Read More

Adeyum afichua jambo Bigman | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa Bigman, Adeyum Saleh, amesema siri ya timu hiyo kufanya vizuri ni kwa sababu ya wachezaji kuelewana aina ya uchezaji, hali ambayo ilikuwa ngumu kwao mwanzoni mwa msimu huu kutokana na wengi wao walikuwa bado hawajuani. Akizungumza na Mwanaspoti, Adeyum aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na Geita Gold,…

Read More

Kipa Mbeya City awindwa Pamba Jiji

UONGOZI wa Pamba Jiji umefungua mazungumzo ya kupata saini ya kipa wa Mbeya City, Hashim Mussa, baada ya kudaiwa nyota huyo anatafuta changamoto sehemu nyingine, kutokana na kutopata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza mara kwa mara. Kipa huyo mkataba alionao na City unaisha mwishoni mwa msimu huu, ambapo hadi sasa ameshindwa kupenya kikosi cha…

Read More

WARAKA WA PILI WA UWAKITA KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29 NA JARIBIO LA MAANDAMANO DISEMBA 9, 2025 KWA UFAFANUZI WA KISHERIA NA KIKATIBA

 Kwa Jina la Mwenyezi Mungu (Allah S.W.T), Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.  Humpa ufalme amtakaye na humwondolea amtakaye, humruzuku amtakaye bila ya hisabu na huwakadiria wengine riziki zao kwa hikima Yake. Yeye pekee ndiye anayestahili kuabudiwa, kutegemewa, kushukuriwa na kuombwa msaada katika kila jambo. UTANGULIZI…

Read More

Singida Black Stars yamgeukia Chobwedo

WAKATI ikielezwa uongozi wa Singida Black Stars unaweza ukaachana na winga nyota wa timu hiyo, Ayoub Lyanga anayewindwa na Mbeya City, mabosi wa kikosi hicho wameanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo. Chobwedo aliyejiunga na TRA (zamani Tabora United) katika dirisha dogo la Januari 2024, akitokea KenGold ya Mbeya iliyopo Ligi…

Read More

KILANGO AWAHAMASISHA VIJANA SAME MASHARIKI KUSHIRIKI MKUTANO WA WAZIRI WA MAENDELEO YA VIJANA

 MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango, amewasihi vijana wa jimbo hilo kujitokeza kwa wingi katika mkutano wa hadhara wa Waziri wa Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka  unaotarajiwa kufanyika leo Disemba 22, 2025, katika viwanja vya Stendi ya Mabasi Ndungu. Akizungumza kuelekea siku hiyo, Kilango alimpongeza Rais wa Jamhuri…

Read More

Maafande wa Prisons yampigia hesabu Mpole

KOCHA wa maafande wa Tanzania Prisons, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, ameanza mipango ya kuisuka upya timu hiyo katika dirisha dogo litakalofunguliwa Januari Mosi, 2026, huku akimfuatilia aliyekuwa mshambuliaji wa Pamba Jiji, George Mpole. Chanzo kutoka katika timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Zedekiah anahitaji mshambuliaji mpya wa kuongeza nguvu, baada ya kuondoka kwa Abdulkarim Segeja, ili akasaidiane…

Read More

Ahoua ajichomoa kikosini Simba, sababu yatajwa

KIKOSI cha Simba kikijiandaa kumpokea kocha mkuu mpya, Steve Barker aliyetambulishwa wikiendi iliyopita kuja kuchukua nafasi ya Dimitar Pantev aliyesitishiwa mkataba baada ya siku 61 tu tangu ajiunge na timu hiyo, kiungo mshambuliaji mmoja nyota wa timu hiyo ameamua kujichomoa mapema. Simba ilimtangaza Barker aliyekuwa akiinoa Stellenbosch ya Afrika Kusini anayetarajiwa kuingia nchini muda wowote…

Read More

ODDS KUBWA na Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Hapa

JUMAPILI ndio hiyo imefika, na wajanja wote wanabashiri na Meridianbet mechi zao zote. Wewe unangoja nini leo?. Ingia kwenye akaunti yako sasa na utengeneze jamvi lako hapa. Unaweza kupiga pesa kwenye mechi za Ligi kuu ya Hispania yaani LALIGA ambapo Girona atamelta kwake Atletico Madrid ambao mpaka sasa wanashika nafasi ya 3 huku wakiwa na…

Read More