Meridian Panda Deluxe, Sloti Yenye Ndoto Kubwa za Ushindi

MERIDIANBET wanabadilisha mtazamo wa burudani kwa kuleta Meridian Panda Deluxe, sloti inayothibitisha kuwa ukubwa wa mchezo haupimiwi kwa gridi bali kwa fursa zilizomo ndani yake. Ukiwa na mpangilio wa 3×3 na mistari 5 ya malipo ya kudumu, kila mzunguko unakuwa wa haraka na wenye mvuto wa kipekee kwa mchezaji anayependa matokeo ya papo kwa papo….

Read More

2025 ulivyoshuhudia vigogo wakijiondoa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwaka 2025 unaisha kwa kushuhudia mageuzi makubwa katika nyadhifa za juu serikalini na ndani ya vyama vya siasa nchini, hali inayoashiria mwelekeo mpya wa uongozi na utendaji kwa mwaka 2026. Hatua hiyo, pamoja na kuibua matumaini mapya kwa wananchi na wafuasi wa vyama, imeambatana pia na mijadala kutokana na baadhi ya viongozi…

Read More

Meya ‘Shetta’ kuja na goli la Meya

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Nurdin  Bilal ‘Shetta’, amesema  milango ya ofisi yake  iko wazi kwa wasanii na wanamichezo  kwa jambo lolote linaliweza kusukuma mbele tasnia hiyo.  Aidha amesema, anakusudia kuanzisha timu maalumu ya Jiji la Dar es Salaam  na kuiwezesha  kucheza ligi mbalimbali ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara ukiwa ni mkakati wa…

Read More

Mpogolo avutiwa mabadiliko jina jipya chemba ya biashara

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema mabadiliko ya jina la Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC), ni hatua ya kimkakati inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi katika kukuza uchumi wa Taifa na kufikia Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2050. Akizungumza leo Jumapili Desemba 21, 2025 jijini…

Read More