Wasomali waandamana kupinga kutambuliwa Somaliland, wamlaumu Netanyahu

Somalind. Maelfu ya Wasomali wamejitokeza katika mitaa mbalimbali nchini humo kupinga hatua ya Israel kuitambua Somaliland, eneo lililojitangaza kujitenga ambalo Somalia inalichukulia kuwa sehemu ya ardhi yake, huku wakimlaumu Waziri Mkuu wa Israel, Benyamin Netanyahu kwa uamuzi huo. Makundi makubwa ya watu yalikusanyika katika mji mkuu, Mogadishu jana Jumanne Desemba 30, 2025, kuelekea kwenye uwanja…

Read More

Wakitakacho vijana kisiasa, kiuchumi ni hiki

Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho Serikali imeweka juhudi za makusudi kushughulikia kero na changamoto zinazowakabili vijana nchini, makundi mbalimbali ya vijana, wakiwamo wanaojihusisha na siasa na shughuli za kiuchumi, yameeleza changamoto na matarajio yao kuelekea mwaka mpya wa 2026. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi, vijana hao wameibua hoja mbalimbali wanazodai zimekuwa zikiwarudisha nyuma…

Read More

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026 KUTOKA KWA MWENYEKITI WA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN)

Ndugu Wasomaji na Watumiaji wa Blogu Tanzania. Tunapouaga mwaka 2025, nachukua fursa hii, kwa niaba ya wanachama wote wa Tanzania Bloggers Network (TBN), kuwapongeza Watanzania wenzangu kwa kumaliza mwaka huu “kibabe”.  Tumekuwa na mwaka wenye matukio mengi ya kihistoria, na ninyi wasomaji wetu mmekuwa wadau muhimu kwa kufuatilia habari, uchambuzi, na taarifa mbalimbali kupitia majukwaa…

Read More

Wachambuzi: 2025 umeisha sasa Tanzania izaliwe upya

Dar es Salaam. Ikiwa imesalia siku moja kabla ya kuanza mwaka mpya 2026, wataalamu wa siasa, uchumi na viongozi wa dini, wameutathmini mwaka 2025 kama mwaka ulioliacha taifa na doa la kisiasa. Viongozi na wataaalamu sambamba na wachambuzi hao wanasema wanatamani kuona 2026 unakuwa na mwanzo mzuri wa kuzaliwa Tanzania mpya yenye kutoa haki, amani…

Read More

Wadau Wakutana Kujadili Ufanisi na Uendelevu wa Bandari

  Na Mwandishi wetu ,Dar es Salaam WADAU zaidi ya 100 kutoka taasisi za serikali, mamlaka za bandari na usafiri, sekta binafsi ya usafirishaji, waagizaji, wauzaji nje na wamiliki wa mizigo wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili ufanisi wa bandari na uendelevu wa uendeshaji wake kupitia ushirikiano wa sekta ya Umma na binafsi (PPP).  Mkutano…

Read More

MABORESHO MAKUBWA HOSPITALI YA MJI HANDENI, SERIKALI YATOA BIL.1.2 KUWEKA VIFAA TIBA VYA KISASA

Na Mwandishi Wetu Maboresho ya huduma za afya katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni yameanza kuleta matokeo chanya baada ya idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa kwa siku kuongezeka kutoka wagonjwa 100 hadi kufikia 175. Akizungumza kuhusu maboresho hayo, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Handeni, Dkt.Hudi Muradi, amesema ongezeko hilo limetokana na kuboreshwa kwa miundombinu…

Read More

Dk Godwin Mollel ashinda ubunge Jimbo la Siha

Siha. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imemtangaza aliyekuwa mgombea ubunge wa Chama chama Mapinduzi (CCM),  Dk Godwin Mollel kuwa ndiye Mbunge wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro. Uchuguzi huo ulisogezwa mbele baada ya aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Daudi Ntuyehabi kufariki dunia Oktoba 7, 2025, baada ya…

Read More