WIZARA YA KILIMO YATOA TREKTA 6 GEITA DC

Halmashauri ya wilaya ya Geita imepokea zana za kilimo kutoka wizara ya kilimo ikiwa ni mkakati wa kuendelea kuwawezesha wakulima katika halmashauri hiyo kufanya kazi kwa urahisi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Geita Dkt Alphonce Bagambabyaki ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa kutoa zana hizo kuwasaidia wakulima katika Halmashauri ya Wilaya ya…

Read More

Kinachombeba Fabrice Ngoy Namungo hiki hapa

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kitu pekee kinachombeba kwa sasa ni kutokana na ushirikiano wa wachezaji wenzake na kuaminiwa na benchi la ufundi, jambo linalomuongezea motisha ya kupambana kila anapopata nafasi ya kucheza. Kauli ya nyota huyo inajiri baada ya juzi kuifungia Namungo bao moja katika ushindi wa timu hiyo wa 1-0, dhidi ya…

Read More

Sababu Mwangata kubaki Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City umefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini ikiwa ni saa chache tangu ichapwe bao 1-0 na Namungo katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya. Katika mechi hiyo iliyopigwa juzi, mabosi wa Mbeya City walitangaza kuachana na Malale baada ya presha kubwa ya mashabiki,…

Read More

Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa

LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa. Kupitia mkataba huu mpya, kampuni hiyo pia imetenga Sh13 milioni kwa ajili ya tuzo za timu na wachezaji, zikiwamo tuzo za Mchezaji Bora (MVP), Mfungaji Bora na nyinginezo zinazolenga kutambua nyota…

Read More

Wadau wanena mameneja Tanroads kubebeshwa zigo la foleni

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kuwataka mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuwajibika endapo kutakuwa na malalamiko ya foleni bila suluhisho la muda mfupi au mrefu, wadau wametoa mitazamo tofauti kuhusu kauli hiyo. Ulega alitoa agizo hilo jana, Jumapili Novemba 30, 2025, jijini Dar es Salaam alipokagua…

Read More

Wahitimu vijana UDSM wahimizwa kulinda amani

Dar es Salaam. Wahitimu wamehimizwa kuendelea kulinda na kudumisha amani, mshikamano na umoja katika jamii sanjari na kutambua mchango wao kama vijana wanaojitambua katika kuendeleza Taifa. Wito huo umetolewa leo Desemba 1,2025 na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa William Anangisye katika duru ya nne ya mahafali ya 55 ya…

Read More