Ikanga Speed anatupia tu DR Congo

UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao. Winga huyo Mkongomani aliyewahi kuitumikia Yanga kwa kipindi kifupi alipotua katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea AS Vita na kuondoka mwishoni wa msimu wa 2024-2025 kwa sasa yupo FC Les Aigles du Congo inayoshiriki…

Read More

HWPL LAUNCH OF THE MIDDLE EAST PEACE IMPLEMENTATION COMMITTEE SIGNALS A NEW PHASE OF REGIONAL-LED PEACE COOPERATION

…………………… On December 19, 2025, Heavenly Culture, World Peace, Restoration of Light (HWPL), a UN affiliated international NGO, held an international online forum titled “International Online Forum for the Realization of Peace in the Middle East: Building Sustainable Peace through Community Cooperation. ” The forum brought together former and current officials and civil society representatives…

Read More

Juma Nyenyezi apewa miwili Mashujaa FC

KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Mashujaa, amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2027, hivyo, kuzikaushia JKT Tanzania na Namungo ambao walikuwa wanamfuatilia dirisha hili dogo la Januari 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa Mashujaa, Meja Abdul Tika, amesema wamefikia makubaliano na mchezaji huyo ya kusaini mkataba mpya, kwa sababu alikuwa pia katika…

Read More

Beki Mkenya apata tumaini Coastal Union

BEKI wa kati wa Coastal Union, Christopher Oruchum amesema kikosi chao kwa sasa kimeimarika na kinacheza soka la kuvutia, tofauti na hali ilivyokuwa awali kabla ya ujio wa benchi jipya la ufundi chini ya kocha Mohamed Muya. Muya aliyejiunga na Coastal Oktoba 6 mwaka huu akirithi mikoba ya Ali Mohamed Ameir, ameiongoza timu hiyo katika…

Read More

Dk Mwigulu ataka mikoa kuchunguza manunuzi ya umma

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, ameelekeza mikoa yote nchini kuanzisha vitengo maalumu vya kuchunguza taratibu za manunuzi na BQ badala ya kusubiri mbio za Mwenge wa Uhuru, hatua inayolenga kulinda ustawi wa huduma na matumizi sahihi ya fedha za umma. Dk Mwigulu amesema takribani asilimia 70 ya bajeti ya Serikali…

Read More

TCAA inavyoimarisha usafiri wa anga

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema imepiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama na udhibiti wa shughuli za usafiri wa anga nchini kwa mwaka wa fedha 2024/2025, hatua inayochangia kuongezeka kwa uaminifu wa huduma za anga kwa waendeshaji, abiria na wadau wa kimataifa. Akizungumza hayo wakati wa Mkutano wa 18 wa…

Read More

Tanzania, India zaingia makubaliano kuendeleza tiba asili

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuibua, kukuza na kulinda tiba asilia katika mifumo ya kisheria na kidijitali, hatua iliyopongezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama mchango muhimu katika kuimarisha mifumo ya afya duniani. Makubaliano hayo yamesainiwa jana, Desemba 20, 2025 nchini India mbele…

Read More

Waziri Kombo  Aongoza  Ujumbe  Wa  Tanzania  Kushiriki  Katika Mkutano  Wa  Pili Wa Jukwaa  La  Mawaziri  Wa Mambo Ya  Nje Wa  Nchi Za Afrika  Na  Urusi

Waziri Kombo  Aongoza  Ujumbe  Wa  Tanzania  Kushiriki  Katika Mkutano  Wa  Pili Wa Jukwaa  La  Mawaziri  Wa Mambo Ya  Nje Wa  Nchi Za Afrika  Na  Urusi – Global Publishers Home Habari Waziri Kombo  Aongoza  Ujumbe  Wa  Tanzania  Kushiriki  Katika Mkutano  Wa  Pili…

Read More