MAKAMU WA RAIS AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
……………. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefungua Semina Elekezi kwa Mawaziri na Naibu Mawaziri inayofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Tarehe 01 Desemba 2025. Kauli mbiu ya Semina hiyo ni “Nafasi na Wajibu wa Mawaziri katika Utumishi wa Umma…