HWPL HOSTS (IRPA) TO PROMOTE INTERFAITH DIALOGUE IN MENA REGION

……………………. HWPL, an international peace NGO, hosted the International Religious Peace Academy (IRPA) on Friday, November 28, 2025 online, under the theme “Understanding Between Religions: The Path Toward Harmony.”  The event was held to promote conflict reduction and mutual understanding among religious communities in the Middle East and North Africa (MENA) region, with participation from…

Read More

Ardhi bure kwa Watanzania wanaotaka kujenga viwanda

Dar es Salaam. Wakati jitihada za kuendelea kuvutia wawekezaji zikipamba moto nchini, Serikali imewaita Watanzania wanaotaka kujenga viwanda kuchangamkia fursa ya kupewa ardhi bure iliyotolewa na Serikali. Ardhi hiyo inatolewa kupitia maeneo maalumu ya kiuchumi yaliyotengwa kote nchini ikiwa ni moja ya hatua ya kuendelea kuwavuta Watanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji zinazopatikana nchini hususan kwenye…

Read More

Maema: Hatuna cha kujitetea, tumejiangusha wenyewe

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Neo Maema, amesema kitendo cha timu hiyo kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wachezaji wenyewe. Maema ameyasema hayo muda mfupi baada ya Simba kufungwa mabao 2-1 na Stade Malien katika mechi ya pili Kundi D la michuano hiyo…

Read More

RAIS MWINYI AKARIBISHA UWEKEZAJI WA KIMATAIFA ZANZIBAR, AKIZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA COMMONWEALTH ENTERPRISE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Zanzibar itaendelea kuwakaribisha wawekezaji wengi zaidi, kwani bado ina fursa nyingi za uwekezaji zinazohitaji ushirikiano wa wadau na taasisi za kimataifa. Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 01 Desemba 2025 alipokutana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Commonwealth Enterprise and Investment…

Read More

Mashujaa, Coastal patachimbika Kigoma | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya iliyotoka kuopata ushindi wa mabzo 2-0 nyumbani, imesafiri hadi Kigoma tayari kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Mashujaa huku namba zikiwabeba. Pambano hilo pekee la Ligi Kuu kwa leo litapigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini humo kuanzia Saa 10:00 jioni,  huku wenyeji wakiwa na kumbukumbu ya kulazimishwa suluhu…

Read More

Vifo 42,196 vilisababishwa na usugu wa dawa mwaka 2021

Dar es Salaam. Tatizo la Usugu wa Vimelea vya Magonjwa dhidi ya dawa (Uvida) linazidi kukua nchini, huku takwimu zikionesha mwaka 2021 lilisababisha vifo vya watu 42,196. Idadi hiyo ya watu walifariki dunia baada ya dawa kushindwa kuwatibu, kutokana na vimelea vya magonjwa waliyokuwa nayo kuwa na usugu dhidi ya dawa zilizotumika kuwatibu. Akizungumza katika…

Read More

Championship kumeanza kuchangamka, vita ipo hapa

UHONDO wa Ligi ya Championship kwa msimu wa 2025-2026, unaendelea tena leo kwa mechi sita za raundi ya nane kupigwa na ushindani umekuwa ni mkubwa, hasa kwa timu kuanzia ya kwanza hadi ya 10, kutokana na kutopishana pointi nyingi. Vinara wa ligi hiyo, Geita Gold inayoongoza kwa pointi 19, baada ya kuichapa Hausung mabao 3-0,…

Read More