Mbinu za ulinzi faragha ya familia zama za dijitali

Dar es Salaam. Kadiri teknolojia inavyozidi kuingia katika maisha ya kila siku, suala la kulinda faragha ya familia limekuwa muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote. Mitandao ya kijamii, vifaa vya kisasa na mifumo ya kidijitali imeleta urahisi mkubwa, lakini pia imefungua mianya mipya ya uvunjifu wa faragha kwa watu wa rika na mazingira mbalimbali. Wataalamu…

Read More

Khalid Adam atua African Sports

ALIYEKUWA Kocha wa Fountain Gate, Khalid Adam, amejiunga na kikosi cha African Sports ‘Wanakimanumanu’ cha mjini Tanga, baada ya hivi karibuni timu hiyo kuachana na Sharifu Joseph Ndokezi, kutokana na mwenendo mbaya wa Ligi ya Championship. Sharifu aliyejiunga na timu hiyo msimu huu akichukua nafasi ya Kessy Abdallah aliyetimkia kwa maafande wa JKT Queens, amekiongoza…

Read More

Lugha tano za mapenzi, yako ipi?

Katika kila uhusiano wa kimapenzi au ndoa, watu wengi hupenda na kupendwa kwa namna tofauti. Wakati mmoja anaweza kuona upendo kupitia maneno matamu, mwingine huhisi upendo anapopewa zawadi au kusaidiwa majukumu ya kila siku.  Tofauti hizi zinaleta changamoto, hasa pale mpenzi au mwenza anapojaribu kuonyesha upendo, lakini mwenzake hasikii kama anapendwa.  Dk Gary Chapman, mshauri…

Read More

Simbu amaliza wa pili mbio za Kolkata India

MWANARIADHA maarufu nchini, Alphonce Simbu, ameendelea kuonyesha kiwango cha juu kimataifa baada ya kumaliza nafasi ya pili katika mbio za Kolkata zilizofanyika leo Jumapili huko India. Katika mbio hizo za kilomita 25, Simbu alitumia saa 1:11:56 kumaliza wa pili nyuma ya Joshua Cheptegei wa Uganda aliyeshinda kwa saa 1:11:49, huku ushindani ukiwa mkali kati ya…

Read More

Yanga yampiga ‘stop’ Denis Nkane

DILI la Denis Nkane kwenda JKT Tanzania, limeingia ugumu baada ya Yanga kukikunjia kikosi hicho, huku ikimtaka winga huyo asake timu nyingine atakayokwenda kwa mkopo lakini sio huko. Nkane ambaye alitua Yanga Januari 2022 akitokea Biashara United, amekuwa hana nafasi kubwa ya kucheza kikosini hapo na klabu hiyo ina mpango wa kumtoa kwa mkopo wakati…

Read More