Pedro asimulia walivyowabana JS Kabylie kwao

KIKOSI cha Yanga kimetua salama nchini jana kutoka Algeria kilipoenda kucheza mechi ya pili ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kutoka suluhu dhidi ya JS Kabylie, huku kocha wa kikosi hicho, Pedro Goncalves akiweka bayana mechi ilikuwa ngumu, ila sare ya ugenini imewabeba. Yanga iliumana na JS Kabylie Ijumaa iliyopita na kutoka sare…

Read More

Sababu kanisa la Askofu Gwajima kufunguliwa

Dar es Salaam. Novemba 24, mwaka huu lilianza agizo la kufunguliwa kanisa lake, siku sita baadaye, ikatolewa amri ya kukomesha mipango ya kutafutwa na kukamatwa kwake, ili ajitokeze kushirikiana kurudisha umoja wa kitaifa. Huo ni mfululizo wa matukio ya siku za karibuni, yaliyofanywa na Serikali yakimlenga Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat…

Read More

VODACOM YAENDELEA KURUDISHA SHUKRANI KWA WATEJA WAKE

 Ofisa wa M-Pesa kutoka Vodacom Tanzania Plc Evelyn Mwinuka akikabidhi Kapu kwa moja ya wateja wa kampuni hiyo Lukas Njabeki Chuma, ikiwa ni  ishara ya kurudisha shukrani kwa wateja wa kampuni hiyo.  Tukio hilo limefanyika eneo la Ipinda-Kyela jijini Mbeya ikiwa ni muendelezo wa Vodacom Tanzania na msimu wa sikukuu wakigawa makapu ya sikukuu maeneo…

Read More

Pantev ataja mambo matatu vipigo mfululizo CAF

MENEJA Mkuu wa Simba, Dimitar Pantev, ametoa kauli iliyoashiria kuumizwa na matokeo ya kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu yaliyochangia hilo. Simba imeanza hatua hiyo ya makundi kwa kufungwa nyumbani bao 1-0 dhidi ya Petro Atletico, kisha imechapwa 2-1 na Stade Malien ugenini. Matokeo…

Read More

Serikali yaweka mkazo usalama wa matumizi ya kemikali

Kibaha. Wasimamizi wa kemikali 170 kutoka taasisi mbalimbali za Serikali na sekta binafsi katika Kanda ya Mashariki wameanza mafunzo ya siku tatu mjini Kibaha, mkoani Pwani. Mafunzo haya yanakusudia kuongeza uelewa na kuimarisha usimamizi salama wa kemikali, ili kulinda afya za wananchi na mazingira, hasa ikizingatiwa ongezeko la kasi la matumizi ya kemikali nchini. Mafunzo…

Read More

Rais Samia kuhutubia Taifa kupitia wazee wa Dar kesho

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kesho Jumanne, Desemba 2, 2025, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, ofisini kwake, Chalamila amesema mazungumzo hayo yataanza saa 5 asubuhi katika ukumbi wa mikutano ya Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam….

Read More