Shilingi yazidi kuimarika, BoT yaingiza Dola 175 milioni sokoni
Dar es Salaam. Hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), pamoja na ongezeko kubwa la mapato yatokanayo na mauzo ya nje, zimechangia kuimarika kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania na kuifanya iwe thabiti dhidi ya misukosuko ya soko la fedha za kigeni iliyoshika kasi katikati ya mwaka huu. Licha ya shinikizo endelevu la uchumi…