Heshima Kambi ya TBN: Veronica Mrema aingia Jopo la Mdahalo Mkutano Mkuu wa Dunia wa waandishi wa sayansi
PRETORIA, AFRIKA KUSINI. Kilele cha utambuzi wa uandishi wa habari za kidijitali nchini Tanzania kimethibitishwa baada ya Bi. Veronica Mrema, Mwanzilishi wa chombo cha habari cha M24 TANZANIA MEDIA na mwanachama mahiri wa Tanzania Bloggers Network (TBN), kuingia rasmi kwenye jopo la mdahalo katika Mkutano wa 13 wa Kimataifa wa Waandishi wa Habari za Sayansi…