ADEM NA SLADS KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIELIMU

Dkt. Maulid Maulid Mtendaji Mkuu wa ADEM (wa pili kulia) na Bi. Bertha Mwaihojo (wa kwanza kulia) wakionesha Mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi pamoja mbele ya Vyombo vya habari, katika Ukumbi wa Mikutano, hoteli ya Stella Maris. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TLSB na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha SLADS Dkt….

Read More

Maeneo matano yanayoiingizia fedha Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inaendelea kurekodi ongezeko la mauzo ya bidhaa zake katika masoko ya nje mwaka hadi mwaka, hali inayoakisi kuimarika kwa uchumi  na mchango wa sekta mbalimbali katika upatikanaji wa fedha za kigeni. Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuna maeneo matano makuu yanayoingiza mapato makubwa zaidi ya fedha…

Read More

JMAT kuwanoa waandishi wake, wakitakiwa kuwa wazalendo

Dar es Salaam. Waandishi wa habari waliopo katika Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) wametakiwa kuwa wazalendo na nchi yao kabla ya kuandika au katangaza habari yoyote. Sambamba na hilo pia wametakiwa kujenga uaminifu mbele ya umma, ili kuweza kuaminiwa na kujitofautisha na watu wengine. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Tumaini Media, January…

Read More

KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA HIFADHI YA NGORONGORO.

Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro. Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi ndani ya eneo la hifadhi umeendelea kuimarika kufuatia ziara za Kamishna wa Uhifadhi wa NCAA, Bw. Abdul-Razaq Badru katika vijiji mbalimbali vilivyoko tarafa ya Ngorongoro ambapo leo tarehe 20 Desemba,2025 ametembelea Kata ya Enduleni, wilayani Ngorongoro. Akiwa ameambatana na…

Read More

CCM YAPELEKA TABASAMU KWA WATOTO WANAOLELEWA MALAIKA KIDS

CHAMA Cha Mapinduzi(CCM)kimepeleka tabasamu kwa watoto wanaolelewa Kituo cha kulea watoto wanaishi katika mazingira magumu cha Malaika Kids kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kuwapatia vyakula ,vinywaji pamoja na vifaa vya shule kwa watoto wa kituo hicho.   Akizungumza leo Desemba 20,2025 wakati akikabidhi vyakula,vinywaji na vifaa vya shule,Katibu wa NEC mambo ya Siasa…

Read More