FCC YANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA WATAALAMU WA MANUNUZI NA UGAVI
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe.Mshamu Munde,akimkabidhi tuzo Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha FCC, Bi. Roberta Feruzi kwa niaba ya Waziri wa Fedha tuzo hiyo imetolewa kwa Tume ya Ushindani (FCC) kutambua mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Manunuzi na Ugavi nchini.Hafla ya utoaji wa tuzo hiyo ilifanyika katika Kongamano la 16 la Wataalamu…