Vifo vya wanasiasa vilivyotikisa mwaka 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 umebeba simanzi katika historia ya siasa za Tanzania, baada ya Taifa kupoteza viongozi na wanasiasa mashuhuri waliowahi kulitumikia kwa muda mrefu, ikiwamo kutoa mchango katika maendeleo ya nchi. Katika nyakati tofauti ndani ya mwaka huu, Watanzania walikumbwa na huzuni kufuatia vifo vya viongozi hao, akiwemo Cleopa Msuya, Job Ndugai, Profesa…

Read More

Chama awaibia mastaa Stars siri ya AFCON

WAKATI fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zikitarajiwa kuanza leo Jumapili nchini Morocco, kikosi cha Taifa Stars kitashuka dimbani Desemba 23, 2025 kucheza dhidi ya Nigeria, huku nyota wa zamani wa timu hiyo, Rashid Iddi Chama akisema kila kitu kinawezekana kuanza vizuri. Taifa Stars iko kundi C pamoja na Tunisia, Uganda na Nigeria…

Read More

Stopper aingia anga za Namungo

KLABU ya Namungo ‘Wauaji wa Kusini’, imeanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa KMC, Salum Athuman ‘Stopper’, kwa ajili ya kwenda kuchukua nafasi ya Abdallah Mfuko, anayedaiwa yuko katika harakati za kutua Mbeya City. Mfuko aliyebakisha mkataba wa miezi sita, inadaiwa anataka kuachana na timu hiyo wakati dirisha dogo litakapofunguliwa Januari Mosi 2026, kwa…

Read More

Singida BS yampigia hesabu Inonga

SINGIDA Black Stars imeelekeza nguvu zake kwa beki wa kimataifa wa DR Congo, Henock Inonga, kama chaguo la kwanza kwa ajili ya kuimarisha ukuta wa kikosi hicho dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Januari Mosi 2026 kutokana na mapendekezo ya Kocha Miguel Gamondi. Taarifa kutoka katika klabu hiyo, zinaeleza Gamondi amekuwa akihitaji beki wa kati…

Read More

Kocha Mashujaa awapa kazi mastraika

KOCHA Mkuu wa Mashujaa Queens, Ally Ally amesema kikosi chake kimefikia asilimia 80 ya ubora anaoutaka msimu huu kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, huku akijipa mechi tano kukamilisha asilimia 20 zilizobaki. Mashujaa Queens ya Kigoma inakamata nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuvuna alama sita katika mechi tatu na imeshinda mbili…

Read More

FCT YAIMARISHA ELIMU YA USHINDANI KWA WADAU MBEYA

BARAZA la Ushindani (FCT) jana Desemba 18, 2025, limeendesha semina ya elimu kwa wadau mkoani Mbeya kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu majukumu na huduma zinazotolewa na Baraza hilo. Semina hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kufunguliwa na Katibu Tawala Msaidizi – Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa…

Read More

HANDENI TUPO MGUU SAWA UTEKELEZAJI BIMA YA AFYA KWA WOTE

Na Mwandishi Wetu, Handeni TC Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amesema wilaya hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha wananchi wanahamasika kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote ili kuwa na uhakika wa kupata huduma bora za matibabu. Akizungumza mjini Handeni, Mhe. Nyamwese amesema kuwa katika wilaya hiyo yenye Halmashauri ya Mji Handeni na Halmashauri…

Read More

Baresi akitua tu, Lamela atafuata KMC

UONGOZI wa KMC unaendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya atakayerithi nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, huku mabosi wa kikosi hicho wanaangalia uwezekano wa kuipata saini ya kiungo mshambuliaji wa KVZ ya Zanzibar, Yusuph Mfaume ‘Lamela’. Kiungo huyo inaelezwa atakamilisha uhamisho huo wa kujiunga na kikosi hicho, ikiwa Abdallah Mohamed ‘Baresi’ anayetajwa kurithi mikoba ya…

Read More