Ibenge ataka wawili tu Azam FC

KIKOSI cha Azam FC kipo mapumziko kwa sasa baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazoanza kesho huko Morocco, lakini benchi la ufundi la timu hiyo halijalala kutokana na kuanza msako wa nyota wawili wapya. Azam kwa sasa ipo nafasi ya tisa kwa kukusanya pointi tisa…

Read More

Waamuzi 17 Tanzania wapata beji za FIFA 2026

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya waamuzi 17 waliopata beji za Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa mwaka 2026. Katika orodha hiyo, kuna waamuzi wa kati sita wanaocheza mpira wa miguu ambao ni Ahmed Arajiga, Nasir Salum Siyah, Ramadhan Omary Kayoko, Hery Ally Sasii, Tatu Nuru Malogo na…

Read More

Mnenge Suluja afariki dunia, Gerefa, wadau wamlilia

Mchezaji wa zamani wa Simba, Kariakoo Lindi, na timu ya taifa ya vijana, Mnenge Suluja, amefariki dunia saa 5 usiku wa kuamkia Desemba 20, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Geita. ‎Kabla ya kifo hicho, Suluja alikuwa anaugua kwa muda mrefu ambapo wiki mbili zilizopita alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando…

Read More

Sintofahamu plastiki ikitajwa kuchochea saratani

Dar/Mwanza. Je, taka za plastiki zinasababisha saratani? Ni swali linalogonga vichwa, huku wataalamu wakifanya utafiti kubaini namna chembechembe za plastiki ‘microplastiki’ zinavyoingia kwenye mwili wa binadamu kwa njia tofauti, ikiwamo vyakula. Hatari ipo kwenye maeneo ya mito, bahari na maziwa ambako taka za plastiki hutupwa ovyo. Hata hivyo, hakuna ushahidi wa moja kwa moja na…

Read More

‘Bots’ zinavyozidi kuteka mitandao ya kijamii Tanzania

Dar es Saalam. Kadri matumizi ya mitandao ya kijamii yanavyozidi kuongezeka, ndivyo changamoto mpya za kidijitali zinavyoibuka, ikiwemo matumizi ya akaunti bandia maarufu kama bots, ambazo zimeanza kutawala mijadala mingi, kwa lengo la kushawishi au kupotosha maoni ya umma. Ingawa suala la bots si geni duniani, nchini Tanzania tatizo hilo limeshika kasi kwa sasa, hasa…

Read More

Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Meridianbet

JE, unajua kuwa sehemu pekee ya wewe kutimiza ndoto zako ni Meridianbet pekee?. Tandika jamvi lako sasa na unanze safari yako ya kufanikiwa kimaisha kwani kwa dau dogo tuu unaibuka Milionea. EPL kurindima wikendi hii ambapo mapema kabisa Chelsea atakuwa ugenini dhidi ya Newcastle United ambapo mara ya mwisho kukutana timu hizi mbili, The Blues…

Read More

JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK. SELEMANI JAFO

  MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua   ujenzi wa mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani Jafo,wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilayani Kisarawe. Na.Alex Sonna-Kisarawe MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa mabweni mawili na madarasa katika Shule…

Read More