IPU yaridhishwa maandalizi ya mkutano mkuu Tanzania, Dk Tulia…

Dar es Salaam. Wajumbe wawakilishi kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) wameridhishwa na maandalizi ya Tanzania kuelekea mkutano mkuu wa umoja huo. Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa IPU utakaofanyika Oktoba 2026 ukijumuisha wajumbe kutoka mataifa mbalimbali wanachama wa umoja huo. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu, Desemba 8, 2025, katika kikao kazi cha mabalozi wawakilishi…

Read More

Wanadamu huzindua rufaa ya dola bilioni 33 kwa 2026 – Maswala ya Ulimwenguni

Hii ndio kipaumbele cha haraka cha muhtasari wa dola bilioni 33 za kibinadamu 2026, zilizozinduliwa Jumatatu, ambayo inakusudia kufikia watu milioni 135 kwa jumla katika nchi 50. “Rufaa hii inaweka mahali tunahitaji kuzingatia nishati yetu ya pamoja kwanza: maisha na maisha“Mkuu wa Kibinadamu wa UN Tom Fletcher. Mamilioni wanahitaji GHO iliyosasishwa ifuatavyo mwaka uliowekwa na…

Read More

DKT. MWIGULU: WAFANYABIASHARA WASINYANG’ANYWE BIDHAA ZAO

WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maagizo kwa viongozi wa majiji na halmashauri zote nchini kuhakikisha wafanyabiashara hawanyang’anywi bidhaa zao na badala yake wawaelekeze namna bora ya kufuata taratibu zilizowekwa. “…Msichukue bidhaa za raia; hizo ndio ofisi za raia wetu, hata kama kuna jambo ambalo anapaswa kuelekezwa kuhusu masuala ya utaratibu basi mshughulikie jambo linalohusu…

Read More

Spika Zungu ataka huduma ya viungo bandia ipewe kipaumbel

Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Tanzania, Azzan Zungu, ameitaka Serikali kuweka mkazo katika huduma ya miguu bandia ili kuwasaidia wahitaji wenye ulemavu nchini. Amesisitiza haja ya kuendeleza huduma hata baada ya wataalamu wa nje wanaotoa huduma hizo kuondoka nchini. Wito huo ameutoa leo Jumatatu, Desemba 8, 2025 alipofanya ziara katika kambi maalumu ya…

Read More

TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS

Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, today held talks with the Acting United States Ambassador to Tanzania, Andrew Lentz, at Chamwino State House to advance key areas of bilateral cooperation and reaffirm the shared commitment to a modern, mutually beneficial partnership. Ambassador Lentz—accompanied by the Counselor for Political…

Read More

Ilichosema Serikali ishu ya kuzima intaneti

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuzimwa kwa mtandao wa intaneti ni hatua ya mwisho kabisa ambayo inaweza kuchukuliwa tu endapo hali ya kiusalama itakuwa mbaya kwa kiwango cha kutishia ustawi wa Taifa. Amebainisha kuwa hadi sasa, Tanzania ipo katika utulivu na hakuna tishio lolote linaloweza kuilazimisha Serikali…

Read More

Shinda Samsung A26 Na Meridianbet Leo

MERIDIANBET imekuja na promosheni ya kibabe kabisa ambayo itakufanya wewe ujishindi Samsung A26 mpya kabisa endapo utafata maelekezo. Ni rahisi sana kuwa mshindi wa simu janja hii. Tengeneza jamvi lako sasa na uibuke mshindi. Promosheni hii ni ya mwezi mzima ambayo ni maalumu kwa watumiaji wote halali wa Meridianbet ambapo mteja ili ajiweke kwenye nafasi…

Read More