‘Tunahitaji Mfumo Mpya wa Kisheria wa Kiulimwengu Unaofikiria Upya Ukuu katika Muktadha wa Uhamisho wa Hali ya Hewa’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Desemba 19, 2025 Inter Press Service CIVICUS inajadili kuhusu kuhama kwa hali ya hewa na mustakabali wa Tuvalu na Kiali Molu, mtumishi wa zamani wa umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Tuvalu na kwa sasa ni mgombea wa PhD katika Chuo Kikuu cha Pasifiki Kusini huko Fiji na Chuo Kikuu…

Read More

Sababu kesi ya kuporomoka jengo la Kariakoo yakwama mara ya nane

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa tena kusikiliza maelezo ya mashahidi na vielelezo (Commital Proceedings) katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo. Kesi hiyo imeshindwa kuendelea kutokana na Jamhuri kubaini baadhi ya nyaraka muhimu katika kesi hizo…

Read More

Kilimo cha kuokoa maisha kilivyosaidia wengi

Bahi, Dodoma. Tatizo la ukosefu wa damu miongoni mwa wanawake wajawazito katika wilaya za Bahi na Chamwino mkoani Dodoma limeanza kupata ufumbuzi, baada ya kuanzishwa kwa mradi wa lishe, unaolenga kuongeza upatikanaji wa damu kwa njia ya chakula. Suluhu hiyo imetokana na utekelezaji wa mradi wa Lishe Yangu Afya Yangu unaoendeshwa na taasisi ya Save…

Read More

Wastaafu 50,000 kufikiwa na vitambulisho vya kielekroniki

Dodoma. Jumla ya wastaafu 50,000 wanaolipwa kupitia Hazina nchini kote wanatarajia kupatiwa vitambulisho vya kielektroniki katika kipindi kifupi, huku tayari 609 wa Jiji la Dodoma wameshakabidhiwa. Mpango wa ugawaji wa vitambulisho kwa wastaafu ulianza mapema mwezi huu katika Jiji la Dodoma na unatarajiwa kuwaunganisha wastaafu wote nchini ifikapo mwisho wa Januari 2026, chini ya usimamizi…

Read More

Mafunzo ya urubani nchini yapunguza gharama kwa Watanzania

Dar es Salaam. Tangu kuanzishwa kwa kozi ya urubani katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), kumewesha mafunzo hayo kupunguza gharama kwa Watanzania wenye ndoto ya kuendesha ndege. Gharama ya mafunzo ya urubani kwa NIT tangu yaanzishwe Julai 2025 kwa daraja la awali (PPL) mafunzo ya nadharia ni Sh5,550,000 mafunzo ya vitendo (kuendesha ndege) kwa …

Read More

Dijitali yatajwa kiungo muhimu ujumuishi wa kifedha

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amesema matumizi ya teknolojia ya kidijitali na huduma za kifedha kwa njia ya simu ni chombo muhimu katika kuwezesha wanawake na vijana katika kuhakikisha maendeleo binafsi na ya Taifa. Ukuaji wa teknolojia ni miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa kwa kirefu na leo Ijumaa Desemba 19, 2025…

Read More

Mradi wa bandari ya uvuvi Kilwa wafikia asilimia 90

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema ujenzi wa bandari ya uvuvi Kilwa wenye thamani ya Sh280 bilioni ni mojawapo ya mradi utakaojibu majibu ya kero zinazowakabili Watanzania ikiwamo ya umasikini. Pia, Dk Mwigulu amesema mradi huo ni miongoni mwa maeneo yanayofafanua kauli na ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu kuendeleza miradi…

Read More