Magori amaliza utata Simba, afichua mambo manne

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori amesema klabu hiyo imefikia hatua ya mwisho ya mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji uliodumu kwa miaka minane tangu ulipoanza mwaka 2017. Magori aliyasema hayo jana kwenye mkutano na wanahabari kuelezea mchakato ya kusajili wanachama wapya wa klabu hiyo, huku akikiri mchakato huo ulikuwa mgumu kutokana…

Read More

Simba, Yanga kuanza hivi Mapinduzi Cup 2026

KLABU kongwe za Simba na Yanga zimepangwa kuanza vita ya kuwania Kombe la Mapinduzi 2026 Januari 3 na 4, wakati pazia la michuano hiyo likifunguliwa na watetezi Mlandege dhidi ya Singida Black Stars Desemba 28, 2025. Simba ambayo jioni hii imemtangaza kocha mkuu mpya, Steve Becker kutoka Stellenbosch ya Afrika Kusini, imapangwa kundi B na itaanza…

Read More

SERIKALI YAWAASA VIJANA KUTUMIA FURSA ZINAZOPATIKANA KUTOKANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

 Na. Ramadhani Kissimba, WF – Dar es Salaam  Serikali imewataka vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali nchini kutumia fursa zinazopatikana kutokana na mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuweza kuendeleza maisha watakapokuwa wakifanya shughuli mbali mbali za kiuchumi kwenye sekta binafsi na sekta ya umma. Hayo yalibainishwa jijini Dar es salaam, na Naibu…

Read More

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA UJENZI BANDARI YA UVUVI KILWA

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameridhishwa na kazi inayofanyika kwenye ujenzi wa bandari ya uvuvi ya Kilwa mkoani Lindi ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 90. “Nimefurahishwa sana na maendeleo ya mradi huu ambao ni mmojawapo ya miradi mingi ya kimkakati ambayo ikikamilika inaacha alama kwa Watanzania,” amesema. Ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Desemba 19,…

Read More

Abdi Banda ashtukia jambo Dodoma Jiji

BEKI wa zamani wa Coastal Union na Simba, Abdi Banda anayekipiga kwa sasa Dodoma Jiji, ameshindwa kujizuia na kuweka bayana kinachoigharimu timu katika Ligi Kuu, huku akichekelea kupatikana kwa vibali vya wachezaji wa kigeni waliosajiliwa na timu hiyo bila kutumika. Banda, mtoto wa beki wa kati na nyota wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Hassan…

Read More

Mecky Maxime ampendekeza Mfuko Mbeya City

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Januari Mosi, 2026 uongozi wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo wa Namungo, Abdallah Mfuko ikiwa ni pendekezo pia la kocha mkuu mpya, Mecky Maxime. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo zimeeleza, Mfuko anayeweza kucheza nafasi zaidi ya moja uwanjani, ni miongoni…

Read More

RAIS DKT.SAMIA APOKEA UJUMBE WA RAIS RAMAPHOSA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mstaafu wa Mambo ya Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika ya Kusini, Dkt. Grece Naledi Mandisa Pandor ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Rais wa Afrika ya Kusini, Mhe. Cyril Ramaphosa, alipofika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar kwa ajili ya…

Read More