Katambi aitaka NDC kuleta mapinduzi ya viwanda

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi ameliagiza Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) kuchukua hatua madhubuti za kuleta mapinduzi ya viwanda nchini kwa kufungua viwanda vingi zaidi na kuzalisha fursa za ajira, hususan kwa vijana. Aidha, amelitaka shirika hilo kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yake na kuimarisha uwajibikaji ili…

Read More

Masauni aahidi kutatua kero tatu za Muungano zilizobaki

Unguja. Wakati Serikali ikizipatia ufumbuzi kero 22 kati ya 25 za Muungano, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Hamad Yussuf Masauni amesema wizara hiyo itazitatua kero tatu za Muungano zilizobakia huku ikiangazia fursa mpya. Amesema, wizara hiyo hahiitaji tena kuzungumza kuhusu changamoto za Muungano badala yake inahitaji kuzungumzia fursa zinazopatikana…

Read More

KingBet kutoa Boda Boda na iPhone 17 msimu huu wa Sikukuu

Kampuni nambari moja ya ubashiri nchini Tanzania, KingBet yaja na promosheni kabambe katika msimu huu wa sikukuu za Christmas na Mwaka mpya. Promosheni inayokwenda kwa jina la Butua na AFCON ambapo imelenga hasa kutoa zawadi kwa wateja wake wote watakaobashiri kipindi chote cha sikukuu. Promosheni hii imeanza rasmi tarehe 21/12/2025 na inatarajiwa kuisha rasmi tarehe…

Read More

Utalii mpya wa usiku kuvutia watalii Tarangire

Tarangire. Ili kuendelea kuvutia watalii kutoka ndani na nje ya nchi, utalii wa usiku unatajwa kuwa kivutio kikubwa katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire. Aidha, kivutio kingine kipya ni kutambua tembo wanaozaa pacha, ambapo mchakato wake upo katika hatua za utafiti, hatua inayotarajiwa kuongeza idadi ya watalii na kuchangia kukuza pato la Taifa. Hayo yamesemwa…

Read More

DC Simanjiro apiga marufuku usafishaji mashamba Langai

Simanjiro. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Festo Lulandala amepiga marufuku shughuli za usafishaji wa mashamba mapya kwa ajili ya kilimo Kata ya Langai, hatua inayolenga kutoa fursa ya kuchunguza na kusuluhisha migogoro ya ardhi inayolikumba eneo hilo. Hata hivyo, Lulandala ameunda kamati ya watu saba itakayokuwa na jukumu la kufanya uchunguzi wa kina…

Read More

MAJIKO BANIFU YA RUZUKU YAPIGA HODI KATAVI

-Majiko 3,126 kusambazwa wilaya zote 3 za Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko ametoa wito kwa wananchi wa Katavi kuchangamkia fursa ya kununua majiko banifu kwa bei ruzuku ya shilingi 7,500 yanayosambazwa kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kulinda afya, kuokoa misitu na kuhifadhi mazingira. Ametoa rai hiyo Desemba 18, 2025…

Read More

Bibi wa miaka 74 ahitimu mafunzo ya upishi Veta

Arusha. Mkazi wa Arusha, Arafa Yusuph Matoke (74), amepata mafunzo ya Sanaa ya Upishi katika Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) cha Hoteli na Utalii kwa kipindi cha miezi mitatu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Hussein Mohamed Omar, amemkabidhi Afara cheti cha kuwa mwanafunzi bora katika mahafali ya 13 ya…

Read More

MKOA WA TANGA WAENDELEA KUIMARIKA KATIKA USALAMA WA CHAKULA

 Na MASHAKA MHANDO, Tanga MKOA wa Tanga umeendelea kuimarika katika usalama wa chakula baada ya kurekodi ziada ya zaidi ya tani milioni moja, huku Mkuu wa Mkoa huo, Balozi Dkt. Batilda Burian, akiwataka wananchi na viongozi kuchukua hatua madhubuti kudhibiti mfumuko wa bei na uharibifu wa mazao. Akizungumza katika mahojiano maalum jana kufuatia agizo la…

Read More