Mlandege, Singida BS kufungua dimba Mapinduzi Cup 2026

RATIBA ya Kombe la Mapinduzi 2026 imewekwa hadharani ikionyesha Mlandege na Singida Black Stars zitafungua dimba la michuano hiyo Desemba 28, 2025. Kwa mujibu wa Katibu wa Kamati ya Kombe la Mapinduzi 2026, Rashid Said Suleiman, mechi hiyo itaanza saa 10:15 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, ikifuatiwa na Azam dhidi ya…

Read More

Sh11.3 bilioni kutumika kuwapa utambulisho watoto

Dar es Salaam. Serikali inafanya maandalizi ya usajili wa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ili kutoa namba ya kipekee ya utambulisho watakayoipata pindi wanapozaliwa hadi mwisho wa maisha yao. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawe katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Ijumaa Desemba 19, 2025 alipofanya ziara ya ukaguzi…

Read More

Coastal Union waitana mapema Tanga

KIKOSI cha Coastal Union kinatarajia kurudi kambini Desemba 27 mwaka huu tayari kwa ajili ya kujiweka fiti na michezo iliyo mbele yake huku kocha mkuu wa timu hiyo, Mohammed Muya akiweka wazi kuwa ametoa program maalum kwa nyota wake kabla ya kurudi siku hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti, Muya amesema amefanya hivyo kwa kutoa programu kwa…

Read More

Fainali Mapinduzi Cup 2026 kuchezwa Pemba

WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ikitarajiwa kuanza Desemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani Unguja, imeelezwa kwamba fainali itapigwa Pemba. Hayo yamesemwa na Katibu Kamati ya Kombe la Mapinduzi 2026, Rashid Said Suleiman alipozungumza na waandishi wa habari leo Desemba 19, 2025. Suleiman amesema kabla ya kuchezwa fainali hiyo Januari…

Read More

Sababu ongezeko la wagonjwa wa kiharusi Tanzania

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanaopata kiharusi duniani, Tanzania ikiwa ni miongoni mwa nchi zilizoathirika. Wataalamu wa afya wanasema kiharusi ni ugonjwa wa ghafla unaotokana na ubongo kukosa hewa na virutubishi kutokana na kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye ubongo.  Shinikizo la juu la…

Read More

SERIKALI KUINUA UCHUMI WA GEITA KWA KILIMO BIASHARA

……. Na Daniel Limbe, Geita TANZANIA ikiwa ni miongoni mwa nchi ambazo bado zinakabiliwa na uhaba mkubwa wa ajira kwa vijana wake, serikali imeanza kuweka mikakati ya kuimalisha sekta ya kilimo biashara ili kukuza pato la mtu mmoja mmoja, kaya na taifa kwa ujumla. Miongoni mwa mikakati hiyo ni pamoja na kuongeza ruzuku ya mbegu,…

Read More