TANZANIA YAWEKA ALAMA UWEKEZAJI AFRIKA

::::::::: Tanzania imetajwa kushika nafasi ya tisa kati ya nchi za Afrika zenye mazingira bora ya uwekezaji kwa mwaka 2025/2026, kwa mujibu wa ripoti ya Business Insider Africa iliyorejelewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo. Akizungumza jana wilayani Bagamoyo mkoani Pwani katika hafla ya utiaji saini wa…

Read More

WADAU WA ELIMU WASHIRIKI UCHAMBUZI WA SHERIA YA ELIMU

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imepokea taarifa ya awali ya Kamati ya Mapitio ya Sheria ya Elimu, Sura ya 353.   Akizungumza Dodoma, Desemba 30, 2025 katika kikao cha Kisekta cha kupokea taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo, amesema Sheria ya Elimu…

Read More

Stars yatinga mtoano, kuwakabili Morocco

RABAT, MOROCCO: TAIFA Stars imekaza msuli na kutoka sare ya bao 1-1 na Tunisia katika mchezo wa Kundi C la mashindano ya Kombe la Matiafa ya Afrika (Afcon) na hivyo timu hizo zote kutinga hatua ya mtoano ya 16 bora kwenye mikikimikiki hiyo inayofanyika Morocco, Jumanne. Katika kipute hicho kilichofanyika uwanjani Stade Olympique de Rabat,…

Read More

CCM yashinda ubunge Fuoni | Mwananchi

Unguja. Chama Cha Mapinduzi kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa mbunge Fuoni Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo usiku huu Desemba 30, 2025 katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Wilaya ya Magharibi B, Msimamizi wa uchaguzi wa wilaya hiyo, Miraji Mwadini Haji amemtangaza Asha Hussein Saleh…

Read More

Airtel Tanzania Yawazawadia Washindi Saba Katika Siku ya Boxing kupitia Kampeni ya ‘Sikukuu Imenyooka na Santa Mizawadi’

Dar es Salaam, Tanzania, 26 Desemba 2025. KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeadhimisha Siku ya Boxing kwa kuwazawadia wateja saba wenye bahati kupitia kampeni yake inayoendelea ya msimu wa sikukuu, “Airtel Sikukuu Imenyooka na Santa Mizawadi,” ikithibitisha dhamira ya kampuni ya kuwawezesha Watanzania kupitia huduma bunifu za kidijitali. Hafla ya kukabidhi zawadi iliwatambua wateja sita waliokabidhiwa…

Read More

TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza kwenye historia tangu michuano hiyo ianzishwe mwaka 1957 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia. Taifa Stars imefuzu hatua hiyo kwa njia ya “Best…

Read More

DKT. KIJAJI AITAKA TFS KUHAKIKISHA DODOMA YA KIJANI

……….. Na Sixmund Begashe, Dodoma  Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji amezitaka Taasisi za Uhifadhi zilizopo chini ya Wizara kutekeleza majukumu yao kwa Weledi na kuzingatia utu ili kuakisi maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuwa na Uhifadhi endelevu na kuifanya Dodoma kuwa ya Kijani.  Wito huo umetolewa Jijini…

Read More

Tanzania yavuna Sh26.95 trilioni kwenye uwekezaji, China kinara

Pwani. Tanzania imerekodi ongezeko la mitaji hadi kufikia Sh26.95 trilioni katika mwaka 2025 huku China, Nchi za Jumuiya za Kiarabu, Cayman Islands, Uingereza na India zikiongoza kwa kuchangamkia fursa hizo. Ukuaji wa mitaji iliyowekezwa unatokana na ongezeko la miradi iliyosajiliwa iliyofikia 915 mwaka huu kutoka miradi 901 iliyokuwapo mwaka jana. Hayo yamesemwa leo na Waziri…

Read More

Mshambuliaji mpya aanza kukiwasha Yanga

SIKU ya kwanza baada ya kutoka mapumziko Yanga imefanya mazoezi chini ya kocha msaidizi Patrick Mabedi, kujifua na maandalizi ya michuano ya  Kombe la Mapinduzi iliyoanza kuchezwa Desemba 28 Visiwani Zanzibar. Jumatatu mastaa wa Yanga walifanya mazoezi ya gym za Gymkhana ya kurejesha ufiti wa mwili na jana jioni walitarajia kuungana na kocha mkuu, Pedro…

Read More