‘Wananchi bado hawajaelewa kikamilifu huduma za ZHSF’

Unguja. Meneja wa Kitengo cha Uhusiano wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), Asha Kassim Biwi amesema kuwa bado kuna changamoto kwa baadhi ya wananchi kutoelewa kikamilifu huduma zinazotolewa na mfuko huo, hali inayosababisha upotoshaji na matumizi duni ya fursa zilizopo. Biwi ameyasema hayo leo Alhamisi, Desemba 18, 2025 wakati akitoa mada katika mkutano…

Read More

Dk Mwigulu akutana na zigo la kero Mbeya

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba  amekutana na kero mbalimbali zilizowasilishwa na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Mbeya, zikiwamo changamoto katika mfumo wa utoaji wa haki, upatikanaji wa huduma bora za afya na maji. Kero nyingine zilizowasilishwa ni masuala ya ardhi, mikopo, michango shuleni, ushuru na kufungwa kwa biashara. Wananchi hao waliwasilisha…

Read More

Wananchi Dar walia bili kubwa za maji bila maji

Dar es Salaam. Katikati ya kilio cha ukosefu wa huduma ya maji safi na salama katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam, kumeibuka changamoto nyingine kwa wananchi kulalamikia kutumiwa ankara kubwa za huduma hiyo, hali inayowaathiri zaidi wa kipato cha chini. Hata hivyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…

Read More

Kabla ya Msimu wa Majira ya baridi ya Kikatili, Mashambulizi Yanayozidi Kudhoofisha Huduma za Msingi kote Ukrainia – Masuala ya Ulimwenguni

Joyce Msuya (kulia mezani), Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Masuala ya Kibinadamu na Naibu Mratibu wa Misaada ya Dharura akitoa maelezo kwa mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu kudumisha amani na usalama wa Ukraine. Credit: UN Photo/Manuel Elías na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Alhamisi, Desemba 18, 2025 Inter Press Service…

Read More

Tanzania, Malawi kuendeleza uhusiano wa biashara ya mahindi

Malawi. Tanzania na Malawi zimeendelea kuimarisha uhusiano wa kibiashara katika zao la mahindi na kuahidi kuendelea na mshikamano ambao umedumu kwa miongo kadhaa. Hayo yamejiri  kufuatia mazungumzo yaliyofanyika Desemba 17, 2025, jijini Lilongwe, kati ya Serikali za Tanzania, Malawi na sekta binafsi. Katika mazungumzo hayo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More