Sebo, Abdulmalik wanukia Singida Black Stars

WAKATI uongozi wa Singida Black Stars ukitafuta beki mwingine wa kati, majina ya nyota wawili yamewekwa mezani, ambayo ni Abdallah Kheri ‘Sebo’, anayeichezea kwa sasa Pamba Jiji kwa mkopo akitokea Azam na Abdulmalik Zakaria wa Mashujaa. Mabosi wa Singida wanapambana kuongeza beki mwingine wa kati, baada ya kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi kumtumia zaidi…

Read More

Nafasi ya ushindi Unayo Ndani ya Meridianbet Leo

KAMA kawaida Michuano ya Conference League Ulaya inaendelea na wewe ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana wewe kupiga pesa zako hapa kwani mechi kibao zenye machaguo zaidi ya 1000 zinaendelea. Wenzako wakisaka pointi 3 wewe saka pesa kwa kubashiri hapa. Crystal Palace atakuwa mwenyeji wa KuPS ambao mpaka sasa wana pointi 5 kwenye mechi 4…

Read More

MBUNGE LIWAKA KUWANUNULIA KOFIA NGUMU BODABODA ZAIDI YA 300

Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Fadhili Liwaka akitoa ahadi ya kuwalipia bodaboda zaidi 300 shilingi Elfu tano (5000) kwa Kila bodaboda atakayekwenda kununua kofia ngumu kwenye duka maalum alilolipendekeza. Baadhi ya madereva bodaboda wakiwa makini kumsikiliza Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Fadhili Liwaka akitoa ahadi ya kuwalipia bodaboda zaidi 300 shilingi Elfu tano (5000) kwa…

Read More

Chama la Wana laanza kujipata Ligi ya Championship

STAND United ‘Chama la Wana’ imeanza kunyanyuka taratibu na kupanda juu katika msimamo wa Ligi ya Championship baada ya kupitia changamoto mbalimbali ikiwamo ukata na kupokwa pointi na Bodi ya Ligi, hii imetokana na ushindi wa bao 1-0 nyumbani dhidi ya Barberian FC. Ushindi huo uliopatikana juzi katika mechi ya Ligi ya Championship kwenye Uwanja…

Read More

WAHIFADHI TFS SAO HILL WAJENGEWA UELEWA WA AFYA

Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu,akiwa anapima afya akiwaongoza watumishi wengine wa Zao Hill kupima afya zao na amesema mafunzo hayo hutolewa kila mwaka kama sehemu ya mafunzo endelevu kwa watumishi wa TFS, yakilenga kuwajengea uwezo wa kujikinga na magonjwa yanayoathiri afya na kushusha kasi ya utendaji kazi. Wahifadhi wa…

Read More

Balozi wa Palestina atembelea DAR-PC, ateta na uongozi

Balozi wa Palestina nchini, Salim Siam, akizungumza na watendaji wakuu wa Klabu ya Wanahabari ya  Dar es Salaam (Dar-PC), Mtendaji Mkuu, Andrew Msechu (kushoto), Naibu Mtendaji Mkuu, Veronica Mrema na Mjumbe wa Bodi, Hamisi Miraji (kulia) wakati alipotembelea ofisi za klabu hiyo kwa ajili ya kujenga mahusiano kati ya ubalozi na klabu. Balozi wa Palestina…

Read More

Victor Mwandike afariki dunia akiacha historia Kariakoo Derby

Refa mstaafu wa kimataifa wa Tanzania, Victor Mwandike, amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Chama cha Waamuzi wa Mpira wa Miguu Tanzania (FRAT), imesema Mwandike amefariki akiwa anapatiwa matibabu. “Mwenyekiti Ndugu Emmanuel Chaula kwa masikitiko makubwa amepokea taarifa ya kifo cha mwamuzi mstaafu wa kimataifa wa FIFA,…

Read More