Papa Leo akemea viongozi wanaotumia dini kugombanisha Taifa

Vatican. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, amelaani  tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kutumia mamlaka na ushawishi wao kwa waumini kuhalalisha migogoro na migawanyiko ndani ya mataifa yao. Leo, ambaye ni Papa wa kwanza kutoka nchini Marekani, ameyasema hayo kupitia ujumbe wa kurasa nne uliotolewa kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Amani Duniani…

Read More

Maendeleo ya njaa huko Asia-Pacific, bomba kuu la Gaza limekarabatiwa, homa yakumba Ulaya – Masuala ya Ulimwenguni

Kiwango cha lishe duni katika eneo hilo kilipungua hadi asilimia 6.4 mwaka 2024, chini kutoka asilimia saba mwaka 2023, na hivyo kuashiria uboreshaji mkubwa, kulingana na ripoti hiyo. Maendeleo haya yanatafsiriwa kuwa watu milioni 25 wanaepuka njaa katika mwaka mmoja tu. Maendeleo hayalingani, hata hivyo, na karibu asilimia 80 ya watu wanaoishi Asia Kusini wako…

Read More

Stars yaenda Morocco kwa matumaini

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars kimeagwa rasmi jana kabla ya kuanza safari ya kwenda Morocco katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinazoanza Jumapili, Tanzania ikipangwa Kundi C pamoja na Uganda, Nigeria na Tunisia. Stars iliagwa jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud…

Read More

DKT. MWIGULU: AMANI NI MSINGI WA MAENDELEO

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 18, 2025 amezungumza na wakazi wa Kiwira mkoani Mbeya ambapo yupo kwenye ziara ya kikazi ya kukagua miundombinu ya umma na mali za watu binafsi ambazo zimeathirika na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amewaeleza wananchi hao kuwa kila Mtanzania anapaswa kuilinda amani iliyopo kwani ndio…

Read More

Msanii Christian Bella Apewa Uraia wa Tanzania

Last updated Dec 18, 2025 Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva mwenye ladha ya R&B na Afro-pop, Christian Bella Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva mwenye ladha ya R&B na Afro-pop, Christian Bella, amepewa rasmi uraia wa Tanzania, hatua inayothibitisha mchango wake mkubwa katika sekta ya muziki na uhusiano wake wa muda…

Read More