Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi
Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi – Global Publishers Home Michezo Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi
Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi – Global Publishers Home Michezo Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi
Claudia Ignacio Álvarez akiwa San Lorenzo de Azqueltan, Jalisco, Meksiko. Credit : Eber Huitzil Maoni na Claudia Ignacio Álvarez (michoacÁn, mexico) Alhamisi, Desemba 18, 2025 Inter Press Service MICHOACÁN, Meksiko, Desemba 18 (IPS) – Mpwa wangu Roxana Valentín Cárdenas alikuwa na umri wa miaka 21 alipouawa. Alikuwa mwanamke wa Asili wa Purépecha kutoka San Andrés…
Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu amewaagiza viongozi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), kuendelea kuchukua hatua kali zaidi za kisheria dhidi ya waajiri wa sekta binafsi wanaoshindwa kuwasilisha michango ya wafanyakazi wao kwa wakati. Amesisitiza kwamba kitendo hicho kinawanyima wafanyakazi haki zao za…
MLANDEGE ilimsajili kwa mbwembwe, Mshambuliaji Mfaransa, Enzo Claude Sauvage, lakini jamaa hakuanza katika mechi tisa za Ligi Kuu Zanzibar msimu huu kati ya 13 ilizocheza timu hiyo na siri imefichuka kuwa, mfumo ndio uliomfanya kukosa nafasi na kuondolewa mazima kikosini. Mshambuliaji huyo aliyewahi kucheza Wolverhampton Wanderers ya England upande wa vijana kuanzia mwaka 2017 hadi…
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, Tarehe 17 Desemba, 2025 kwa niaba ya Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amefunga rasmi Mkutano wa 18 wa Mapitio ya Sekta ya Uchukuzi (JTSR), uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Akizungumza wakati wa hitimisho la mkutano huo, Mhe. Mkude ameipongeza Wizara ya Uchukuzi…
Shirika la Masoko ya Kariakoo limekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa makundi mbalimbali ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kwa lengo la kuwasikiliza na kuwapa mrejesho wa namna shirika hilo lilivyoshugulikia maoni na changamoto za wafanyabiashara ikiwa ni maandalizi ya kufungua soko hilo Januari, 2026. Akiongea na wafanyabiashara hao, Meneja Mkuu wa shirika hilo…
Dar es Salaam. Tanzania iko katika nafasi nzuri ya kutengeneza fedha za kigeni ikiwa itawekeza zaidi katika uzalishaji wa mawese kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi. Hiyo ni baada ya bei yake katika soko la dunia kufikia Sh2.583 milioni kwa tani moja ya ujazo Oktoba mwaka huu. Ongezeko hili la bei…
Imepita miaka tisa sasa tangu mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), uanze kufanya kazi ambapo kwa mwaka huu 2025 umepitia tamu na chungu ikiwamo vituo vyake kuharibiwa kwa nyakati tofauti lakini pia kufunguliwa kwa awamu yake ya pili. Mradi huo ambao unatekelezwa kwa awamu sita, mpaka sasa awamu mbili zimekamilika na kuanza kutoa huduma ikiwamo…
Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amesema utulivu uliopo nchini ni matokeo ya utii wa wanachama wa chama hicho kwa viongozi wao. Mwenyekiti huyo amesema hayo jana Jumatano Desemba 17, 2025 akiwa kwenye ziara Kijiji cha Makangale, Mkoa wa Kaskazini Pemba, ziara hiyo ina lengo kutoa shukurani kwa wazee na wananchi…