WAZIRI KOMBO NA PROF. KABUDI WAITEMBELEA KAMBI YA TAIFA STARS MISRI NA KUWAKABIDHI BENDERA YA TAIFA.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, wameitembelea Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” iliyokita kambi jijini Cairo nchini Misri.  Waziri Kombo na Profesa Kabudi, wameitembelea kambi hiyo Desemba 17, 2025 na kuikabidhi…

Read More

Mateso ya Ukraine yanaendelea huku umeme ukikatika kwa siku huku kukiwa na mashambulizi yanayoendelea ya Urusi – Global Issues

Katika sasisho kutoka Ukraine, afisa mkuu wa misaada wa UN huko, Katibu Mkuu Msaidizi Matthias Schmaleinaripoti kwamba nusu ya wakazi katika jiji la Kherson, wakazi wapatao 30,000 au zaidi, wamekuwa bila umeme kwa siku kadhaa. Sio jiji pekee lisilo na nguvu, aliambia Habari za Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano, nikiwa kwenye misheni ya kuelekea…

Read More

NMB yaja na maboresho ya huduma kwa makandarasi wa Zanzibar

Na Mwandishi Wetu Zanzibar – Katika kuendelea kuimarisha sekta ya ujenzi visiwani Zanzibar, Benki ya NMB imezindua maboresho ya masuluhisho mbalimbali maalum kwa ajili ya makandarasi zikilenga kuwezesha kampuni za ndani kufanya miradi mikubwa na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya kiuchumi ya visiwa hivyo. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika Hoteli ya Verde…

Read More

Maji, malisho ya mifugo kilio kila kona

Mikoani. Wakati hali ya upatikanaji wa maji ikiendelea kuwa changamoto katika baadhi ya maeneo nchini kutokana na ukame, kwingineko wanalazimika kuchangia maji sehemu moja na mifugo. Wapo wanaolalamikia kuuziwa maji kwa kwa gharama kubwa, kwa kuwa hayapatikani kwa urahisi kutokana na kuharibiwa kwa miundombinu, tatizo wanalosema limedumu kwa muda mrefu. Kwa nyakati tofauti Mwananchi imetembelea…

Read More

Jinsi Hekima ya Pasifiki Inabadilisha Kitendo cha Hali ya Hewa Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

Coral Pasisi, Mkurugenzi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Uendelevu katika Jumuiya ya Pasifiki (SPC), anashiriki katika hafla ya kando ya COP30 iliyofanyika 𝐌𝐨𝐚𝐧𝐚 𝐁𝐥𝐮𝐞 𝐏𝐚𝐜𝐢𝐟 𝐏𝐚𝐯𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧. Credit: Cecilia Russell/IPS na Cecilia Russell (belÉm, Brazil) Jumatano, Desemba 17, 2025 Inter Press Service BELÉM, Brazili, Desemba 17 (IPS) – Katika Visiwa vya Pasifiki, ambapo upeo wa bahari…

Read More