Hamisa Mobetto, Nana Doll na Queen Masanja Wampongeza Mama Chanja
Hamisa Mobetto, Nana Doll na Queen Masanja Wampongeza Mama Chanja – Global Publishers Home Burudani Hamisa Mobetto, Nana Doll na Queen Masanja Wampongeza Mama Chanja
Hamisa Mobetto, Nana Doll na Queen Masanja Wampongeza Mama Chanja – Global Publishers Home Burudani Hamisa Mobetto, Nana Doll na Queen Masanja Wampongeza Mama Chanja
KUNA maswali mengi yameibuka baada ya Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Desemba 15, 2025 ilipopitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya uamuzi uliopokewa kwa mitazamo tofauti. Miongoni mwa maswali yaliyoibuka ni kutokana na adhabu za kuwafungia wachezaji mechi tano kwa…
DIRISHA dogo la usajili lipo njiani kufunguliwa mapema mwakni, huku Yanga ikiwa haijakaa kinyonge ikipanga kuongeza mashine moja ya maana eneo la ushambuliaji na hivi unavyosoma tayari kuna majina manne mezani kwa mabosi wa klabu hiyo wakipiga hesabu waondoke na nani kati yao. Kocha timu hiyo, Pedro Goncalves ameutaka uongozi kumletea mashine hiyo ya kuongeza…
Credit: Hivos Maoni by Job Muriithi Jumatano, Desemba 17, 2025 Inter Press Service Juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa mara nyingi huweka kando jamii ambazo zimeathiriwa zaidi na mzozo huo na ambao wamechangia kwa uchache zaidi. Ukosefu huu wa haki ulikuwa wazo kuu la programu ya Voices for Just Climate Action (VCA)….
Ramiz Alakbarov, Naibu Mratibu Maalum wa Mchakato wa Amani ya Mashariki ya Kati, alitoa sasisho wakati wa mkutano wake wa robo mwaka kuhusu. Azimio la Baraza 2334 (2016) ambayo inaitaka Israel kusitisha shughuli za makazi katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu. Alisema Umoja wa Mataifa unafanya sehemu yake kuunga mkono usitishaji vita. Ufunguo wa…
Airtel Africa na SpaceX Waingia ubia wa Kimkakati Kuunganisha Satelaiti kwa Simu (Starlink Direct to Cell) Barani Afrika – Global Publishers Home Habari Airtel Africa na SpaceX Waingia ubia wa Kimkakati Kuunganisha Satelaiti kwa Simu (Starlink Direct to Cell) Barani Afrika…
MERIDIANBET, kampuni kinara wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, imechukua hatua kubwa katika kuimarisha uhusiano wake na wateja pamoja na jamii kwa ujumla. Hatua hii inaendeleza utamaduni wake wa muda mrefu wa kurejesha fadhila kwa jamii, ambapo kampuni hiyo imetoa msaada wa vyakula na mahitaji ya msingi ya nyumbani kwa familia zenye kipato cha chini…
*This marks the first satellite-to-mobile service for millions of people in Africa Dubai, 16 December 2025: Airtel Africa today announced an agreement with SpaceX to introduce Starlink Direct-to-Cell satellite connectivity across all its 14 markets that serve 174 million customers. Through this partnership, Airtel Africa customers with compatible smartphones in regions without terrestrial coverage can…
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kampasi ya Mloganzila unatajwa kuwa miongoni mwa miradi itakayowawezesha wananchi kujivunia na kunufaika na huduma za tiba zitakazotolewa na Kituo cha Umahili cha Jumuiya ya Afrika Mashariki kinachojengwa katika eneo…
Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Hati za Mizigo Inayoweza Kujadiliwa huunda, kwa mara ya kwanza, hati moja ambayo inaweza kutumika kwa treni, malori na ndege ambayo inaruhusu mabadiliko ya vifaa kufanywa kwa bidhaa ambazo tayari ziko kwenye harakati. Hiyo ina maana kwamba shehena ya thamani inaweza kuuzwa, kubadilishwa njia au kutumiwa kupata ufadhili wakati…