Mikopo kwa wanawake yatafutiwa suluhisho

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wanawake wakilalamikia kukumbwa na vikwazo katika upataji mikopo kupitia majukwaa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi, Serikali imepanga kushirikiana na asasi za kiraia na wadau wengine wa sekta binafsi kuhakikisha kundi hilo linatimiza vigezo na hatimaye kupata mikopo. Kwa mujibu wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu,…

Read More

Ligi Kuu Bara, Mzize na Ahoua wote mtegoni

SI uliona ushindani wa wachezaji ulivyokuwa msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara na mwisho wa yote wale wa kigeni walitawala sehemu kubwa mbele ya wazawa? Ngoma ya msimu huu imeanza kwa kasi ya ajabu, huku wazawa wakiamka. Msimu uliopita kinara wa mabao alikuwa mchezaji wa kigeni, Jean Charles Ahoua, raia wa Ivory Coast, anayecheza Simba…

Read More

WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO MOSHI.

WATOTO wawili wa miaka 4 na 2 wamefariki dunia baada ya moto kuteketeza nyumba waliyokuwa wakiishi katika Mtaa wa Katanini, Kata ya Katanini, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Akizungumza nyumbani hapo, Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Kilimanjaro, Jeremiah Mkomaji amesema watoto hao kuwa ni Jerial Shayo (4) na Leoni Shayo (2) watoto wa…

Read More

NMB kuboresha huduma kwa makandarasi Zanzibar

Katika kuendelea kuimarisha sekta ya ujenzi visiwani Zanzibar, Benki ya NMB imezindua maboresho yenye suluhisho maalumu kwa ajili ya makandarasi zikilenga kuziwezesha kampuni za ndani kufanya miradi mikubwa. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kuwa sehemu ya kuchangia uchumi wa Taifa na maendeleo ya haraka kupitia miradi mikubwa ya ujenzi. Hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika Jumanne Desemba…

Read More

DG EWURA ATAKA WELEDI, UADILIFU KWA WATUMISHI

Singida: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt. James Mwainyekule, amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kutekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu wa hali ya juu ili kukidhi matarajio ya Watanzania kwa ufanisi na tija zaidi. Ametoa rai hiyo leo 17 Desemba 2025 wakati wa kikao cha baraza…

Read More