MWANAISHA MNDEME AJITOSA RASMI KUGOMBEA UBUNGE KIGAMBONI KUPITIA ACT-WAZALENDO

Wakili na mwanaharakati wa haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, leo ameonesha dhamira yake ya kuwatumikia wananchi wa Kigamboni kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Zoezi hilo limefanyika katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na kushuhudiwa na wafuasi wake waliokusanyika kwa hamasa kubwa kuonyesha mshikamano na matumaini…

Read More

TMA FC yaanza na straika

KIKOSI cha TMA cha Arusha kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Bigman, Arafat Adam baada ya mkataba wake na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Champioship kufikia ukomo msimu uliopita.chukua nafasi ya aliyekuwa nyota wa timu hiyo, Ramadhan Kapera ambaye amekamilisha uhamisho wa kurejea Polisi Tanzania.

Read More

Hatima ya Mpina yamsubiri msajili

Dar es Salaam. Baada ya majadiliano ya saa moja na nusu, hatima ya Luhaga Mpina kugombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, sasa imo mikononi mwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, iliyoahidi kutoa uamuzi kabla ya Agosti 27. Hatua hiyo imefikiwa baada ya pande mbili zenye msimamo…

Read More

Straika akoleza vita Namungo | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa timu ya vijana ya Simba, Rashid Mchelenga amekamilisha dili la kujiunga na Namungo FC kwa mkataba wa miaka miwili, akikoleza vita mpya ya eneo hilo ndani ya kikosi hicho. Mchelenga anaungana na washambuliaji wengine wapya na kuongeza vita mpya katika eneo hilo ambao ni Andrew Chamungu aliyetokea Songea United na mfungaji bora…

Read More

Mwalimu ataja vigezo wananchi vya kumpima achaguliwe kuwaongoza

Hai. Mtiania wa urais wa Tanzania kwa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema uongozi haupimwi kwa umri bali kwa uwezo wa akili na hofu ya Mungu..Mwalimu ameyasema hayo aliposimama kusalimia wananchi wa mji wa Bomang’ombe waliojitokeza barabarani kumlaki akiwa njiani kuelekea Moshi kutoka Arusha. “Msiniangalie kwa umri wangu, nipimeni kwa uwezo wangu…

Read More

Mgambo waiangukia Serikali ajira za kudumu

Morogoro. Wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba (mgambo) katika Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuwaangalia kwa jicho la huruma kwa kuwapatia ajira ndani na nje ya wilaya hiyo ili kujikimu kimaisha na kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama. Wahitimu hao wametoa ombi hilo leo kwenye hafla ya kufunga mafunzo hayo ya…

Read More

Aliyekuwa DED Kigoma jela miaka 20

Arusha/Kigoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Athuman Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kughushi nyaraka na utakatishaji wa fedha. Msabila na washtakiwa wengine 10, wakiwamo maofisa kutoka idara ya fedha…

Read More

Asilimia 78 ya kaya nchini zina uhakika wa vyoo salama

Hanang. Kaya zenye vyoo bora nchini zimefikia asilimia 78 huku asilimia 1.2 zikiwa hazina vyoo huku katika Mkoa wa Manyara, asilimia 6.4 ya kaya zake hazina vyoo salama. Hayo yamebainishwa leo Agosti 23, 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia sekta ya afya, Profesa…

Read More

Morocco: Haikuwa rahisi, lakini tulipambana!

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, amesema udhaifu katika kutumia vizuri nafasi walizotengeneza ndiyo sababu ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco. Hata hivyo, kocha huyo anajivunia namna wachezaji walivyopambana hadi kufikia hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya hivyo kwenye michuano inayosimamiwa…

Read More