Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo – Video – Global Publishers

Last updated Sep 29, 2025 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoongoza endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Jumapili, Septemba 28, 2025,…

Read More

SERIKALI YAHIMIZA TAASISI ZA KULEA YATIMA KULINDA IMANI YA WAHISANI

 Na Albert Kawogo,Bagamoyo  SERIKALI imezitaka taasisi zinazosimamia malezi ya watoto yatima na wale wanaoshi katika mazingira magumu kusimamia miongozo,taratibu na sheria katika matumizi ya misaada mbalimbali wanayopewa ili kujenga imani ya wahisani wanaotoa misaada hiyo   Wito huo umetolewa hivi karibuni  na Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Bagamoyo Abuu Yasin wakati wa sherehe…

Read More

‘Hatuamini katika Kukata tamaa’ Naibu Mkuu wa UN anaambia Umati wa Tamasha la New York – Maswala ya Ulimwenguni

Hafla hiyo ya muziki, ambayo ilifanyika katika Hifadhi ya Kati mwishoni mwa wiki iliyopita ya Wiki ya kiwango cha juu cha Mkutano Mkuu, ni tukio la kushangaza kutoka kwa Citizen ya Global, harakati kubwa zaidi ulimwenguni kumaliza umaskini uliokithiri. Mstari wa mwaka huu ulijumuisha nyota za kimataifa kama vile Shakira, Cardi B na Rosé. Bi…

Read More

HAMZA TANDIKO AENDELEA KUWASHA MOTO WA KAMPENI MAGANZO

Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Hamza Yusuph Tandiko. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampeni za Uchaguzi Mkuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kushika kasi, ambapo Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Hamza Yusuph Tandiko, ameendelea kunadi Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 akisisitiza kuwa ni…

Read More