Nafasi Za Kazi Za Mkataba Halmashauri Ya Wilaya Ya Mlimba
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba inatangaza nafasi za kazi za mkataa (contract) kwa idara mbalimbali. Wote wanaopenda wanakaribishwa kuomba nafasi hizi kwa kusoma vigezo na masharti yafuatayo:
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba inatangaza nafasi za kazi za mkataa (contract) kwa idara mbalimbali. Wote wanaopenda wanakaribishwa kuomba nafasi hizi kwa kusoma vigezo na masharti yafuatayo:
Last updated Sep 29, 2025 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoongoza endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Jumapili, Septemba 28, 2025,…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Na Albert Kawogo,Bagamoyo SERIKALI imezitaka taasisi zinazosimamia malezi ya watoto yatima na wale wanaoshi katika mazingira magumu kusimamia miongozo,taratibu na sheria katika matumizi ya misaada mbalimbali wanayopewa ili kujenga imani ya wahisani wanaotoa misaada hiyo Wito huo umetolewa hivi karibuni na Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Bagamoyo Abuu Yasin wakati wa sherehe…
Hafla hiyo ya muziki, ambayo ilifanyika katika Hifadhi ya Kati mwishoni mwa wiki iliyopita ya Wiki ya kiwango cha juu cha Mkutano Mkuu, ni tukio la kushangaza kutoka kwa Citizen ya Global, harakati kubwa zaidi ulimwenguni kumaliza umaskini uliokithiri. Mstari wa mwaka huu ulijumuisha nyota za kimataifa kama vile Shakira, Cardi B na Rosé. Bi…
::::::::: Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya WAZOHURU MEDIA Ndg Mathias Canal amewaongoza Viongozi wa dini, Wadau wa maendeleo na Waumini kwenye harambee ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania-KKKT Usharika wa St George Kiomboi Wilaya ya Iramba Mkoani Singida. Katika harambee hiyo iliyofanyika leo tarehe 28 Septemba 2025 katika eneo…
Dar es Salaam. Kampeni za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, zimetimiza mwezi mmoja sasa tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilipotangaza rasmi kuanza kwa kampeni hizo, Agosti 28, 2025. Vyama hivyo vilianza kufanya kampeni zao kwa kuwanadi wagombea wao wa urais, ubunge na udiwani sambamba na kunadi ilani…
Kama ukifika sokoni umekuwa ukizikimbia nyanya zilizobonyea au kupondeka maarufu masalo, jiulize mara mbili, huenda hizo ndio salama zaidi kwa afya yako.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Hamza Yusuph Tandiko. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampeni za Uchaguzi Mkuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kushika kasi, ambapo Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Hamza Yusuph Tandiko, ameendelea kunadi Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 akisisitiza kuwa ni…