
TANROADS NA MKANDARASI KUONDOA FOLENI MTO MZINGA
…………… Dar es Salaam, 09/10/2025 Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) na mkandarasi M/s STECOL Corporation ya China, kuanzia sasa watashirikiana kuyaondoa magari yatakayokuwa yameharibika kwenye barabara ya kuanzia eneo la Mbagala Rangitatu hadi Kongowe, ili kuepusha foleni za mara kwa mara. Meneja wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Alinanuswe Kyamba amesema kuharibika kwa…