TANROADS NA MKANDARASI KUONDOA FOLENI MTO MZINGA

…………… Dar es Salaam, 09/10/2025 Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) na mkandarasi M/s STECOL Corporation ya China, kuanzia sasa watashirikiana kuyaondoa magari yatakayokuwa yameharibika kwenye barabara ya kuanzia eneo la Mbagala Rangitatu hadi Kongowe, ili kuepusha foleni za mara kwa mara. Meneja wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Alinanuswe Kyamba amesema kuharibika kwa…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu akili mnemba (AI) na Mabadiliko ya Tabianchi uliomalizika Oktoba 9,2025 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauri wa Rais wa katika masuala ya mazingira na Mwenyekiti wa Kundi la Afrika cha Majadiliano (AGN), Dk. Richard Muyungi. PICHA NA…

Read More

Mwili wa mgombea ubunge CUF aliyeuawa kuzikwa Oktoba 11 Kigoma

Siha. Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi, unatarajiwa kusafirishwa kesho, Oktoba 10, 2025, kuelekea kijijini kwao Kumlungwe, Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, kwa ajili ya taratibu za maziko. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Oktoba 9, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,…

Read More

Mradi wa Graphite, yametimia | Mwananchi

Dar es Salaam. Tanzania ipo katika hatua za mwisho kuanza kunufaika na madini yake ya Graphite, baada ya Serikali kwa kushirikiana na wawekezaji, kuanza utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa madini hayo. Kwa mujibu wa Waziri wa Madini Anthony Mavunde, mradi huo wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 300 (zaidi ya Sh740.37 bilioni), utaiweka…

Read More

SHIRIKA LA POSTA LAADHIMISHA SIKU YA POSTA KIVINGINE

Meneja wa Shirika la Posta Mkoa wa Dar es salaam  Paul Mshanga akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam leo wakati wa madhimisho ya siku ya Umoja wa Posta Duniani ambayo huadhimishwa kila Oktoba 9 ya kila mwaka.Msimamizi wa Biashara Shirika la Posta Mkoa wa Dar es salaam Hamisi Swedi akizungumza na wanahabari jijini Dar…

Read More

HUSSEIN JUMA SALUM: Turufu yake ya urais ni Zanzibar kuwa ya kilimo

Binadamu huota na hujibidisha kufanikisha ndoto. Anajitazama na kujenga matamanio ya jambo. Anatamani kuwa wa kada fulani inayomvutia kwenye maisha. Msemo wa “mipango si matumizi” hauna tofauti kubwa na “jitihada hazishindi kudra.” Unaweza kupanga, lakini mipango yako isishabihiane na matumizi. Unajitahidi, lakini jitihada zako zisikutane na kudra ambazo Mungu amekupangia. Hussein Juma Salum, mwanzoni mwa…

Read More

Mgombea ubunge CCM Ngorongoro aahidi kutetea masilahi ya wananchi

Arusha. Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Ngorongoro, Yanick Ndoinyo ameahidi kusimama imara kutetea maslahi ya wananchi wa jimbo hilo na kuhakikisha kila sauti ya mkazi wa Ngorongoro inafikishwa serikalini bila kupotoshwa. Ndoinyo amesema jukumu kubwa la wananchi wa Ngorongoro ni kuhakikisha CCM inapata kura za kutosha ili aingie madarakani kusaidia kuendeleza kasi ya maendeleo…

Read More

TANESCO YAZINDUA PROGRAMU BUNIFU YA UMEME

:::::::::::;; Na Mwandishi Wetu,  – Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, leo Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya “Konekt Umeme, Pika kwa Umeme” inayotekelezwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika viwanja vya Mwembe Yanga, Wilaya ya Temeke. Akizungumza katika uzinduzi huo, Chalamila aliipongeza Wizara ya Nishati kwa…

Read More