Hatua muhimu za kumchagulia mtoto shule sahihi

Dar es Salaam. Katika pitapita zangu huku mitaani, kila karibu kila mzazi ninayekutana naye na kufanya naye mazungumzo hususan wale wenye watoto wanaosoma na wanaotarajia kuanza shule, mazungumzo yao ni jinsi wanavyohangaika kupata shule nzuri kwa ajili ya watoto wao. Nikawa najaribu kurudisha nyuma enzi mimi nasoma na ndugu zangu, namna wazazi wangu walivyokuwa wanahangaika…

Read More

Baada ya kuzaa sitamani kurudi kazini, nifanyeje?

Dar es Salaam.  Nimekaa likizo ya uzazi ya miezi mitatu cha kushangaza baada ya kumaliza sitamani kufanya kazi, muda mwingi natamani nibaki nyumbani nicheze na mtoto wangu. Kila nikijitahidi nashindwa nahisi kabisa nitapoteza kazi. Nishauri nifanye nini ili niwe sawa nirudi kazini kama ilivyokuwa zamani. Baada ya likizo ya uzazi, wanawake wengi hupitia mabadiliko makubwa…

Read More

Israel yadai kumuua kamanda mwandamizi wa Hamas Gaza

Jeshi la Israel limesema limemuua kamanda mkuu wa Hamas katika shambulio lililolenga gari lililokuwa likipita kwenye Jiji la Gaza siku ya Jumamosi. katika taarifa ya pamoja ya Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) na Shirika la Usalama la Shin Bet walieleza kuwa Raed Saad, aliyekuwa mkuu wa uzalishaji wa silaha wa tawi la kijeshi la…

Read More

Mafuriko Gaza yaua watoto watatu, maelfu waachwa bila makazi

Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa pamoja na uharibifu wa miundombinu katika ukanda wa Gaza yamesababisha vifo vya watoto na kuongezeka kwa mateso ya wakazi waliokwishaathiriwa na vita, kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya kimataifa. Kwa mujibu wa shirika la ulinzi wa raia Gaza, watoto watatu wamefariki dunia baada ya maji kuvamia mahema…

Read More

BURIANI JENISTA MHAGAMA – MICHUZI BLOG

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Mongella, wakitoa heshima za mwisho kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Mhe. Jenista Joakim Mhagama, mara baada ya ibada, leo Jumamosi, tarehe 13 Desemba 2025.   Shughuli ya utoaji wa heshima za mwisho…

Read More

RAIS SAMIA AMEYAPA KIPAUMBELE MASUALA YA VIJANA: NANAUKA.

📍OR-Wizara ya Maendeleo ya Vijana Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka amewaeleza Vijana nia ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuunda Wizara maalum ya vijana ili kukuza ustawi wa kundi hilo. Waziri Nanauka amesema hayo siku (Disemba,12, 2025) alipokuwa kwenye ziara yake…

Read More

Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta wa Miamala

Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni inayoendelea ya Masta wa Miamala. Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana na semina kwa vijana kutoka taasisi mbalimbali, Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic, Emmanuel Mahodanga alisema “Kampeni hii ya miezi mitatu inalenga kuongeza matumizi ya njia mbalimbali za malipo…

Read More

Hersi kushiriki kongamano la FIFA, Qatar leo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Umoja wa Klabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa wataalam watakaofundisha kwenye kongamano kubwa la mpira wa miguu litakalofanyika Doha, Qatar, kesho Jumapili, Desemba 14, 2025. Katika kongamano hilo, Hersi amepangiwa na FIFA kufundisha kwenye mada…

Read More

Mwabudu Mungu aliyethibitika upate kuwa na amani maishani

Dar es Salaam. Bwana Yesu asifiwe. Karibu katika somo la mahubiri leo Jumapili. Hili ni somo litakalokufanya usimame vyema katika kumwabudu huyu Mungu wa kweli, anayesema, “Mimi Niko ambaye Niko” Yehova ndilo jina lake.  Ninaitwa Hosea Gambo, mtumishi wa huyu Mungu ninapatikana Kanisa la HRCC TAG Haydom, Mbulu mkoani Manyara. 1 Fal 18:36-37 “Ikawa, wakati…

Read More