Wasira: CCM tulifanya uamuzi sahihi kwa Samia

Makete. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uamuzi wa kumchagua Samia Suluhu Hassan awanie kiti cha urais kupitia CCM siyo kumpa zawadi bali ni kutokana na uwezo aliouonesha kuiongoza nchi kwa mafanikio makubwa. Kimesema Samia licha ya kuichukua nchi katika mazingira magumu, lakini aliivusha salama na maendeleo makubwa yameshuhudiwa chini ya uongozi wake. Miongoni mwa mafanikio…

Read More

JKT Queens yanyakua ubingwa CECAFA

HATIMAYE JKT Queens imetawazwa kuwa bingwa wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Wanawake baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya. Bao la Winifrida Gerald dakika ya tano akifunga kwa kichwa baada ya kumalizia…

Read More

Sekondari ya Temeke yapigwa tafu vifaa vya maabara

Dar es Salaam. Katika kutekeleza mkakati wa kuinua ubora wa elimu ya sayansi nchini Tanzania, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa msaada wa Sh10 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke. Fedha hizo zimekabidhiwa shuleni hapo, kwa ajili ya kununua vifaa vya maabara…

Read More

Yanga wenyeji, Simba wageni watatu

YANGA imewaweka nje wachezaji wapya wote, ikianza na kikosi chenye wenyeji huku Simba ikija na wapya watatu. Yanga inacheza dhidi ya Simba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii unaofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwenye kikosi cha Yanga kilichoanza, hakuna ambaye amesajiliwa dirisha kubwa lililofungwa Septemba 7 mwaka huu. …

Read More

Othman awaahidi wavuvi Zanzibar mikopo, zana za kisasa

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kufanya mageuzi katika sekta ya uvuvi ikiwemo kuboresha miundombinu ya bandari na masoko ya samaki ili kuongeza kipato cha wavuvi. Othman amefafanua kuwa maboresho hayo yatawezesha wavuvi kupata sehemu nzuri za kuhifadhia mazao yao ili kufanya shughuli zao kwa ufanisi zaidi….

Read More

Huduma jumuishi za kifedha zaipa BoT tuzo ya kimataifa

Dar es Salaam. Utekelezaji wa matumizi ya mfumo wa malipo ya papo kwa papo (TIPS) na matumizi ya msimbo namba (QR code) unaofahamika kama TANQR, umetajwa kuwa sababu ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutunukiwa tuzo kuu ya ubunifu katika huduma jumuishi za fedha. Tuzo hiyo ijulikanayo kama Nestor Espenilla Jr. Financial Inclusion Innovation Award,…

Read More

Simba, Yanga zapishana dakika 12 kwa Mkapa

TIMU za Simba na Yanga tayari zipo ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaoanza saa 11:00 jioni. Yanga ndio imekuwa ya kwanza kufika hapa Benjamin Mkapa ikiwasili saa 9:22 alasiri, lakini ikashtua kidogo. Kilichofanyika, Yanga ikaibukia kusikojulikana ikitokea kwenye moja ya njia ya vumbi, kisha walinzi wake…

Read More