Kante, Pacome waibua presha Dabi ya Kariakoo
MUDA mchache kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii unaozikutanisha Yanga dhidi ya Simba, kuna presha iliibuka kwa mashabiki wa pande zote. Tukianza na Yanga, mashabiki wengi walianza kutishwa na taarifa kwamba kiungo wao fundi, Pacome Zouzoua hatakuwa sehemu ya mchezo huo. Hiyo ilitokana na Pacome kutoonekana kucheza mechi ya kilele cha Wiki wa Mwananchi…