Ahadi za Mwinyi kwa bodaboda, wakulima na wajasiriamali

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema akipata ridhaa nyingine ya kuongoza, watawekeza nguvu kubwa kuyainua makundi ya wajasiriamali, huku bodaboda wakiundiwa ushirika wa kumiliki pikipiki zao wenyewe. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo, Septemba 16, 2025, wakati akizungumza na makundi ya bodaboda, wakulima wa viungo na wajasiriamali…

Read More

ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF) Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaishi mazingira magumu katika kata ya Nungwi Wilaya ya Kaskazin A, Mkoa wa Kaskazini Unguja – Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurungezi Mwakilishi wa Taasisi ya Ada Cotterll Foundation Shedrack Albert amesema ugawaji…

Read More

Masista wanne, dereva wafariki dunia ajalini Mwanza

Mwanza. Masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, wamefariki dunia baada ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori mkoani Mwanza. Waliofariki ni pamoja na Mama Mkuu wa Shirika hilo duniani, Sista Nelina Semeoni (60), raia wa Italia.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema ajali…

Read More

Morogoro kuandika historia kwa Mkwawa Rally ya Afrika

Tanzania inajiandaa kuandika historia ya kuwa mwenyeji wa mbio za magari za ubingwa wa Afrika 2025, Mkwawa Rally of Tanzania, zitakazofanyika kuanzia Septemba 19 hadi 21 mkoani Morogoro. Zaidi ya madereva 23 kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kushiriki katika mashindano hayo yatakayohusisha jumla ya kilometa 338. Mashindano haya yanatarajiwa kuwa na ushindani mkali, hasa kati ya anayetabiriwa…

Read More

Kazi ya kibinadamu ya UN ‘imefadhiliwa, imepitishwa, na chini ya shambulio’ – maswala ya ulimwengu

Akiongea Jumatatu na waandishi wa habari katika makao makuu ya UN huko New York, Tom Fletcher ambaye anaongoza ofisini kwa uratibu wa maswala ya kibinadamu (Ocha), alisema “Tuna asilimia 19 tu ya kile tunachohitaji.” Jumuiya ya kimataifa kwa sasa inashughulika na misiba mingi ya kibinadamu kote ulimwenguni, pamoja na misiba inayoendeshwa na migogoro katika Jamhuri…

Read More

Huduma mkoba yatua Songwe | Mwananchi

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame amewapokea madaktari bingwa 30 wa Rais Samia watakaotoa huduma za matibabu kwenye hospitali tano za halmashauri za mkoa. Huduma zitakazotolewa ni pamoja na matibabu ya magonjwa njia ya uzazi na watoto, huduma za upasuaji wa kibobezi, utoaji wa dawa za usingizi, tiba ya magonjwa ya kawaida,…

Read More

Sh51 bilioni zaboresha miradi ya kimkakati Jiji la Mbeya

Mbeya. Serikali imetoa zaidi ya Sh51 bilioni kwa ajili ya kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwepo masoko, kituo cha kisasa cha mabasi ya mikoani, machinjio na barabara kwa kiwango cha lami katika Jiji la Mbeya. Miradi hiyo inatekelezwa kupitia Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (Tactics), chini ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijiji (Tarura) kupitia mkopo…

Read More

Usiku wa Mabingwa: Bashiri, Ushinde, Shinda Maokoto!

Je unajua kuwa leo hii usiku wa Ulaya unaanza?. Timu mbalimbali kutoka Mataifa mbalimbali zinachuana vikali kusaka pointi tatu muhimu. Leo hii kuna Arsenal. Real Madrid, PSV na wengine wengi. Wewe chuana na Meridianbet kupata ODDS za kibabe na ubashiri sasa. Wababe wa Ulaya Real Madrid watakuwa Santiago Bernabeu kumenyana vikali dhidi ya Olympique Marseille…

Read More