Mapendekezo saba ya wadau wa demokrasia

Dar es Salaam. Wadau wa demokrasia nchini wametaja hatua zinazofaa kuchukuliwa kuimarisha mifumo ya demokrasia na kupendekeza mambo 7 muhimu ya kufanyiwa kazi likiwamo suala la kuandikwa kwa Katiba mpya. Kauli za wadau hao zimetolewa leo Jumatatu Septemba 15, 2025 katika maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za…

Read More

DKT. MWINYI: UWANJA MPYA WA NDEGE PEMBA UNAKUJA

MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inatarajia kumkabidhi Mkandarasi Mkataba wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Pemba ifikapo Septemba 25 mwaka huu. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 15 Septemba 2025 katika Uzinduzi…

Read More

Aesh aahidi bei nzuri ya mazao Sumbawanga

Rukwa. Mgombea ubunge wa Sumbawanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Aesh Halfan Hilary amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa atahakikisha changamoto ya pembejeo za kilimo zinatatuliwa na wakulima kuondokana na changamoto hiyo. Aesh amezungumza hayo leo Septemba 15, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Msua, Manispaa…

Read More

Amarula Sundown Sessions Yazua Mwendo Jijini Dar

Jumapili usiku, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilichomoka kwa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio lililosheheni mastaa, influencers, na watu mashuhuri kutoka kila kona ya jiji. Usiku huo ulikuwa wa burudani ya hali ya juu: muziki ulirukaruka kwenye midomo ya wapenzi wa vibes, vinywaji vya Amarula vilivyotengenezwa kwa ubunifu…

Read More

84 Churches in Ethiopia Change Their Church Signboards to Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony

On the 10th, representative pastors from 84 churches in Ethiopia posed for a commemorative photo at the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia Signboard Changing Ceremony.”  On the 10th, during the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia…

Read More

Polisi yatoa kauli vurugu zilizoibuka Mahakamani leo

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kuwa askari wake walilazimika kujihami leo Septemba 15, 2025 baada ya kuzuka vurugu katika viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Jumatatu Septemba 15, 2025, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema vurugu hizo…

Read More