WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MRADI WA KUSAIDIA WATOTO WANAOISHI NA KUFANYA KAZI MTAANI (Children in Street Situation (CiSS))

………………………. Na WMJJWM-Dar Es Salaam  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mradi wa kuwasaidia watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani (Children in Street Situation (CiSS) utaotekelezwa katika mikoa ya Dar Es Salaam, Dodoma na Mwanza wenye lengo la kupunguza kuwapatia elimu, ujuzi na stadi mbalimbali kwa…

Read More

Askofu mstaafu KKKT Kaskazini, Dk Shao afariki dunia

Moshi. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amefariki dunia leo Jumatatu, Agosti 25, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini (KCMC), Mjini Moshi. Dk Shao amehudumu kama Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini kuanzia mwaka 2004 hadi 2014 alipostaafu na…

Read More

Vodacom inavyojivunia mafanikio ya ESG

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza mafanikio yake kupitia mfumo wa jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) unaozinduliwa kesho Jumanne, Agosti 26, 2025, huku ikisisitiza kukuza ujumuishi wa kidijitali na kufanya biashara kwa uwajibikaji. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, inayohudumia wateja milioni 22.6 nchini na zaidi ya milioni 211 barani Afrika,…

Read More

ILO yataka mkazo ajira zenye staha Tanzania

Dar es Salaam. Shirika la Kazi Duniani (ILO), limesema katika utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050, ni muhimu Tanzania iweke kipaumbele katika ajira zenye staha kwa kuwa ndiyo msingi wa amani na utulivu wa jamii. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam leo, Agosti 25, 2025 na Mkurugenzi wa ILO Kanda ya Afrika…

Read More

Mikoa 13 bila mgombea mwanamke CCM

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa 2025, utakuwa na uwakilishi wa wanawake 34 wanaogombea ubunge majimboni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) huku katika mikoa 13 chama hicho kikiteuka wanaume pekee. Ingawa idadi hiyo ya wanawake walioteuliwa na chama hicho kugombea ubunge majimboni imeongezeka ukilinganisha na ile ya mwaka 2020, wadau wanasema bado hatua iliyopigwa hairidhishi…

Read More

Nauli ya mwendokasi Mbagala, Kariakoo hii hapa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….

Read More

Bidhaa bandia zinavyotafuna uchumi wa Tanzania

Dar es Salaam. Biashara ya bidhaa bandia inaendelea kuathiri uchumi wa Tanzania, huku takwimu zikionesha Serikali inapoteza zaidi ya Sh1.7 trilioni kila mwaka kutokana na ukwepaji wa kodi ya bidhaa kwenye sekta za pombe na sigara. Tatizo hilo limekithiri zaidi katika maeneo ya mipakani kama Kigoma, Songwe, Katavi, Mbeya, Musoma mkoani Mara na Kagera, pamoja…

Read More

Wafugaji 34,484 kunufaika na chanjo ya mifugo Handeni

Handeni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Salum Nyamwese amewataka wafugaji wilayani humo kujitokeza kuchanja mifugo ili kudhibiti magonjwa ya kideri, sotoka na homa ya mapafu ambayo ndio yanayosumbua zaidi mifugo. ‎Akizungumza wakati wa mwendelezo wa kuzindua kampeni ya chanzo ya mifugo kwenye kata mbalimbali za wilaya hiyo leo Jumatatu Agosti 25, 2025 amesema…

Read More