
ANNA KILANGO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE AKITANGAZA KUVUNJWA MAKUNDI NDANI YA CCM.
NA WILLIUM PAUL, SAME. MBUNGE mteule wa Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro, Anna Kilango Malecel amechukua fomu ya kugombea katika Jimbo hilo huku akitangaza kuvunja makundi ndani ya CCM. Anna Kilango alichukua fomu hiyo jana katika ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Same mashariki katika ofisi za…