2025
Beki Simba apewa mmoja Zambia
ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…
Mtanzania aanza na Al Ahly
JANA Chama la Mtanzania, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ anayekipiga ENPPI lilikuwa kibaruani kwenye muendelezo wa Ligi Kuu Misri dhidi ya Al Ahly na nyota huyo alitarajiwa kuwepo kikosini kwa mara ya kwanza tangu alipotambulishwa hivi karibuni. Kinda huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu minane tangu ajiunge mwaka 2017 akicheza timu…
Straika Pamba alalamikiwa TFF | Mwanaspoti
BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa, raia wa Uganda taarifa mpya ni nyota huyo atafunguliwa mashtaka Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji (TFF), kwa sababu ya kupinga agizo la waajiri wake. Iko hivi. Kager iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu na kwenda Ligi ya Championship, ilifikia…
Gamondi analitaka Kombe la CECAFA Kagame
FAINALI ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame itapigwa leo Jumatatu na Singida Black Stars itavaana na Al Hilal Omdurman ya Sudan kwenye Uwanja wa KMC, jijini Dar es Salaam mara baada ya mechi ya mshindi wa tatu kati ya APR ya Rwanda na KMC inayopigwa saa 6:00 mchana. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa…
Simba, Yanga zajitega Kwa Mkapa
MASHABIKI wa soka hususan wale wa Simba na Yanga kwa sasa wanahesabu saa tu kabla ya kuzishuhudia timu hizo zikishuka Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuvaana katika mechi ya Ngao ya Jamii kuzindua msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-2026. Zimesalia saa 24 tu…
Madhara ya mke kuwa muongeaji kupitiliza Yapa Hapa – Global Publishers
Last updated Sep 14, 2025 USHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasiri wa kuzungumza kwelikweli hata kama waliomzunguka wote ni wanaume. Akianza kuongea jambo lake hakubali kushindwa. Anataka aongee, asikilizwe na ikiwezekana waliomzunguka wote wawe upande wake. Haoni aibu. Hajishtukii hata…
Burkina Faso Yapunguza Sikukuu za Umma Kuokoa Bilioni 17 – Global Publishers
Last updated Sep 14, 2025 Waziri wa Utumishi wa Umma, Mathias Traore OUAGADOUGOU – Serikali ya Burkina Faso imewasilisha muswada wa kupunguza idadi ya sikukuu za kitaifa kutoka 15 hadi 11, hatua inayolenga kuokoa takribani faranga za CFA bilioni 17 kwa mwaka. Kwa mujibu wa Waziri wa Utumishi wa Umma, Mathias…