Mwakwama CUF ataja vipaumbele vitano Uyole
Mbeya. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Ibrahim Mwakwama, ametaja vipaumbele vitano ambavyo atavifanyia kazi iwapo atachaguliwa, huku akisisitiza uongozi shirikishi na kulaani vitendo vya utekaji. Akihutubia wananchi leo Jumapili Septemba 14, 2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uyole Junction, Mwakwama amwsema ili jimbo hilo liwe la mfano, mshikamano unatakiwa…