
Dar kinara wanafunzi wanaohama shule za msingi nchini
Dar es Salaam. Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora na Geita imetajwa kuwa kinara nchini kwa wazazi kuhamisha watoto wao wanaosoma shule za msingi kwenda maeneo mengine nchini. Jambo hilo linatajwa kuchangiwa na kuhama kwa wazazi wao kikazi, kutafuta sehemu ambazo watoto wanaweza kupata elimu bora na usalama wa wanafunzi. Ripoti ya Best Education…