MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA NCHINI – MWAIPAYA
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za Utumishi Marathoni 2025 zilizoandaliwa na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania Kampasi ya Mtwara. Akiwasilisha salamu za Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mwaipaya amesema, “Historia ya Chuo cha Utumishi wa Umma ni sehemu…