Dar kinara wanafunzi wanaohama shule za msingi nchini

Dar es Salaam. Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora na Geita imetajwa kuwa kinara nchini kwa wazazi kuhamisha watoto wao wanaosoma shule za msingi kwenda maeneo mengine nchini. Jambo hilo linatajwa kuchangiwa na kuhama kwa wazazi wao kikazi, kutafuta sehemu ambazo watoto wanaweza kupata elimu bora na usalama wa wanafunzi. Ripoti ya Best Education…

Read More

Daktari ambaye hakuweza kuacha Goma – maswala ya ulimwengu

Moto wa bunduki ulirarua giza. Usiku baada ya usiku, daktari wa miaka 44 kutoka Guinea alishikilia kwa matumaini kwamba mji uliozingirwa ungeshikilia kwa njia fulani. Halafu, asubuhi moja mwishoni mwa Januari, simu ilikuja: Yeye na wafanyikazi wa kimataifa waliobaki walipaswa kuhamishwa mara moja. “Tulichukua ndege ya mwisho,” alikumbuka. Masaa baadaye, Goma alikuwa mikononi mwa M23….

Read More

Nani Kuibuka Kidedea EPL? – Global Publishers

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…

Read More

Nauli mwendokasi Mbagala huenda ikawa ‘buku’

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….

Read More

Bado Watatu – 8 | Mwanaspoti

Nikakaa kwenye kiti na kumuuliza. “Kuna taarifa yoyote ambayo mmeshaipata kuhusiana na mtu aliyefanya yale mauaji?” “Bado hatujapata taarifa yoyote, tunawasikiliza ninyi polisi.” “Kwa upande wetu tumemgundua muuaji….” “Ni mtu anayeitwa Thomas Christopher. Sijui kama unamfahamu mtu huyo” “Thomas Christopher?” “Ndiyo Thomas Christopher.” Alphonce akatikisa kichwa. “Naamini kwamba ni mmoja wa marafiki wa marehemu na…

Read More

TRA yaja na mfumo mpya makusanyo ya kodi

Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua mfumo mpya wa kielektroniki wa usimamizi wa maarifa (Knowledge Management System) unaolenga kuongeza uwazi na weledi katika ukusanyaji wa mapato. Mfumo huo unatajwa kuongeza ufanisi, uwazi, kupunguza mianya ya rushwa kwa watendaji wasio waadilifu, kuongeza usawa ambapo hakutakuwa na mlipakodi atakayetolewa makadirio makubwa sana au atakayependelewa kwa kutoa…

Read More

Ahadi ya Serikali ya umeme wa gridi yatekelezwa Kagera

Kagera. Ahadi ya Serikali ya kufikisha umeme wa gridi ya Taifa katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera imetekelezwa baada ya kusaini mikataba ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benako, Ngara  hadi Kyaka  wilayani Misenyi. Utekelezaji wa mradi huo unaenda sambamba na ujenzi wa kituo cha kupoza umeme…

Read More