Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
  • Page 1,340
Habari

Sababu ACT kuiburuza Tamisemi mahakamani

January 6, 2025 Admin

Dar es Salaam. Malalamiko dhidi ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024 hatimaye yamefikia hatua ya mahakamani, baada ya

Read More
Michezo

KenGold yachafua hali ya hewa!

January 6, 2025 Admin

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza

Read More
Habari

Kiingereza pasua kichwa kidato cha pili

January 6, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kiingereza ambayo ndiyo lugha ya kujifunzia kwa wanafunzi wa sekondari imeendelea kuwa mwiba, baada ya robo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa majaribio

Read More
Habari

VYUO VYAASWA KUWA NA WALIMU WANAOFUNDISHA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

January 6, 2025 Admin

CHUO cha Furahika Education College kilicho chini ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kimewaasa wakuu wa vyuo vyote nchini kuwa na

Read More
Michezo

Singida Black Stars yakimbilia Arusha

January 6, 2025 Admin

KIKOSI cha Singida Black Stars kimerejea mazoezini na leo kinatarajia kwenda Arusha kwa ajili ya kuweka kambi ya mwezi mmoja kujiweka fiti na michuano iliyopo

Read More
Habari

Waziri Mkuu wa Canada kujiuzulu?

January 6, 2025 Admin

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada, huenda akatangaza kujiuzulu ndani ya siku chache, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …

Read More
Habari

Vijana wanne kati ya 29 ‘waliotekwa’ Kenya wapatikana

January 6, 2025 Admin

Nairobi. Tovuti ya Daily Nation imeripoti kuwa vijana wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana nchini Kenya, wamepatikana wakiwa hai huku familia zao

Read More
Michezo

Maafande waingilia dili la Mpepo

January 6, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Eliuter Mpepo ambaye aliwahi kufanya vizuri katika Ligi Kuu Zambia akiwa na Trident FC anajiandaa kutua Tabora United kwa mkataba

Read More
Habari

Mechi za pesa leo hizi hapa

January 6, 2025 Admin

Ni Jumatatu nyingine ya kuondoka na mshindo ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yakiwa hapa. Suka jamvi

Read More
Habari

Makonda amvaa Gambo mbele ya waziri

January 6, 2025 Admin

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemvaa mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo akidai haudhurii vikao vinavyojadili maendeleo ya mkoa huo, badala

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 1,339 1,340 1,341 … 1,375 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.