Jacob Massawe aamsha mastaa Namungo

NAHODHA wa Namungo, Jacob Masawe amesema licha ya kukutana na timu zilizoshuka daraja, lakini hawatadharau mechi hizo kutokana na upinzani wa timu zilizo chini yao, huku akishangazwa na historia ya alipotoka timu kupotea. Namungo ipo nafasi ya 11 kwa pointi 31 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, ambapo imebakiza mechi mbili dhidi ya KenGold na…

Read More

Kipa Kagera Sugar akiri walichemsha mapema

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema kushuka daraja kwa timu hiyo ni sawa na kifo kwa mwanadamu, lakini si kiwango kidogo kwa wachezaji, huku akifichua kushindwa kujipanga mapema na kuzinduka mwishoni ndiko kulikowagharimu. Kagera Sugar imeshuka daraja kwa mara ya kwanza tangu ilipopanda Ligi Kuu miaka 21 iliyopita. Pamoja na kushuka daraja, bado ina…

Read More

Nenda Aziz Ki hauna deni Tanzania

MAPEMA tu mwezi ujao hapa kijiweni tutakaa mbele ya runinga kumtazama Stephane Aziz Ki akikiwasha katika Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani akiitumikia Wydad ya Morocco. Jamaa wameonyesha jeuri yao ya fedha bwana kwa kumchomoa staa na kipenzi cha Yanga ambaye tayari ameshaondoka Tanzania kwenda Morocco kuungana na miamba ya huko kwa mkataba wa…

Read More

Karibu tena Maximo changamoto zilezile

KIJIWE kimepata taarifa za uhakika kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa kocha kipenzi cha Watanzania Marcio Maximo akarejea nchini. Baada ya kuja mara ya kwanza kuinoa timu ya taifa, Taifa Stars na baadaye mara ya pili akaja kuifundisha Yanga, Maximo sasa anakuja kufanya kazi katika upande mwingine wa Jamhuri ya Muungano, yaani visiwa vya Zanzibar. Maximo…

Read More

Mlandege yajiweka pazuri mbio za ubingwa ZPL

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Mlandege imeendelea kuufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), baada ya kuichapa Mwenge kwa bao 1-0 katika mechi iliyopigwa jana kwenye  Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Bao hilo pekee lililoipa Mlandege poinri tatu muhimu lilifungwa na Mussa Hassan dakika ya 63. Licha ya Mlandege kutoka na ushindi, lakini  ilionekana…

Read More

Pesa yako inavyoua afya yako

Katika ulimwengu wa sasa, pesa ni moja ya rasilimali muhimu zaidi katika maisha ya kila siku. Zina nguvu kubwa ya kubadilisha hali ya maisha, kutimiza ndoto, na kuhakikisha ustawi wa kifamilia. Hata hivyo, kama ambavyo pesa zinaweza kuwa na manufaa, pia zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya yako ikiwa zitatumika vibaya. Watu wengi wanaweza…

Read More

Shinikiza ya Ulimwenguni Kulinda Bahari za Bahari zinaongezeka mbele ya Mkutano wa UN huko Nice – Maswala ya Ulimwenguni

Kundi la wafanyikazi kutoka Tanzania Standard Chartered Benki huondoa taka za plastiki huko Coco Beach huko Dar es salaam kama sehemu ya mpango wa uwajibikaji wa ushirika wa kijamii wa benki hiyo. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Dar es Salaam, Tanzania) Alhamisi, Mei 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAR ES SALAAM, Tanzania,…

Read More