Morogoro wajipanga kuongeza uzalishaji wa maziwa

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amesema licha ya mkoa huo kukosa takwimu sahihi za uzalishaji wa maziwa, wamejiwekea mikakati ya kuongeza uzalishaji hadi kufikia lita 50,000 ndani ya miaka miwili ijayo. Malima amesema hayo leo Ijumaa, Mei 23, 2025, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya 28 ya…

Read More

Maeneo 14 kuleta mapinduzi Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Dodoma. Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2025/26, yenye jumla ya Sh476.65, bilioni imepangwa kutekelezwa katika maeneo makuu 14, yakiwemo kukamilisha ujenzi wa Bandari ya Uvuvi katika eneo la Kilwa Masoko. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji, amewasilisha ombi kwa Bunge la kuidhinisha bajeti ya Sh476.65 bilioni kwa…

Read More

Hatari iliyojificha katika nguo nyekundu kwa mtoto mchanga

Dar es Salaam. Kama umewahi kujiuliza kwa nini maduka mbalimbali huuza nguo za watoto wachanga zenye rangi angavu kama nyeupe, pinki, bluu bahari au njano! Leo una cha kujifunza. Wataalamu wa afya za watoto wachanga wametaja hatari iliyojificha katika nguo nyekundu kwa mtoto mchanga, ambazo wanawake wengi hawaijui. Hata hivyo, wazee wa zamani, hasa bibi…

Read More

Bashe awaka wanasiasa wanaohujumu zao la pamba

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amewakosoa baadhi ya wanasiasa na viongozi ambao kwa maelezo yake, wamegeuza kilimo cha pamba kuwa nyenzo ya kisiasa badala ya kusaidia kukiinua kwa maslahi ya wakulima na uchumi wa Taifa. Akijibu hoja za wabunge wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka…

Read More

Turufu ya Mzize na Dube kwa Jean Ahoua

USHINDANI wa mastaa kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu umezidi kukolea na kusababisha mambo kuzidi kunoga. Lakini kuna kuna linakwenda kutokea kati ya wachezaji watatu mahiri kwenye mashindano hayo ambao wote wanacheza kwa watani wa jadi. Moja ya eneo ambalo sasa limekuwa gumzo na mijadala kwenye vijiwe vya kahawa hususani vile vya Simba na Yanga…

Read More

Kipa Berkane aichimba mkwara Simba

KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu – kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya Simba SC wikiendi iliyopita, nchini kwao. Akizungumza kabla ya mazoezi leo, Ijumaa, ikiwa ni siku moja baada ya kikosi hicho kuwasili  Zanzibar kwa ajili…

Read More

Mpango mkubwa zaidi wa dola bilioni nyingi katika historia ya Amerika-na serikali ya Amerika ya 51? – Maswala ya ulimwengu

Jeshi la anga la Royal Saudia F-15SA. Mikopo: Idara ya Ulinzi ya Amerika (DOD) na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Mei 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mei 23 (IPS) – Wakati Rais wa Merika Donald Trump alipojitolea kutangaza Canada kama jimbo la 51 la Amerika, Wakanada walikataa kabisa pendekezo…

Read More

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAONESHO YA WORLD EXPO 2025 OSAKA, JAPAN*

………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya kimataifa ya Osaka (World Expo 2025 Osaka). Akiwa nchini Japan, Mheshimiwa Majaliwa atashiriki katika kongamano la biashara, uwekezaji na utalii ambalo litahusisha wafanyabiashara kutoka Tanzania na Japan. Pia, Waziri Mkuu atashiriki katika…

Read More