Wizara ya Ujenzi yatoa vipaumbele vya kuipeleka Zanzibar kwenye uchumi wa kidijitali

Unguja. Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi imeweka mkazo katika utekelezaji wa vipaumbele vyake vinavyolenga kuendeleza miundombinu ya barabara, bandari na viwanja vya ndege, sambamba na kuimarisha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), ili kuiwezesha Zanzibar kufikia uchumi wa kidijitali. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya mwaka 2025/2026 leo, Mei 22, 2025,…

Read More

Ukata bado kikwazo utekelezaji bajeti ya EAC

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa bajeti ya mwaka 2025/2026 ukiendelea, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imebainika kukabiliwa na ukata wa kifedha, gazeti dada la The Citizen limeeleza. Hali hiyo inatokana na baadhi ya nchi wanachama kuchelewesha au kutotekeleza kabisa wajibu wao wa kuchangia bajeti ya kila mwaka, kwa mujibu wa nyaraka zilizoonwa na The…

Read More

Bima ya lazima kwa wageni yazalisha Sh16 bilioni Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema imekusanya Sh16.177 bilioni kwa miezi mitano kupitia malipo ya bima ya lazima ya Dola za Marekani 44 (Sh118,404) kwa kila mgeni anayeingia Zanzibar. SMZ ilianzisha sera maalumu ya kutoza wageni wanaoingia nchini,na utekelezaji wake ulianza rasmi Oktoba mosi, 2024. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi, Mei 22, 2025 na…

Read More

FCC YAPOKEA MKANDARASI RASMI KWA AJILI YA MAGEUZI YA TEHAMA

:::::::: Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imepokea rasmi mkandarasi kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa kiotomatiki utakaobadilisha mifumo ya uendeshaji wa taasisi hiyo kuwa ya kidijitali, kwa lengo la kuwa taasisi ya kisasa, yenye ufanisi na inayojibu haraka mahitaji ya wadau. Mradi huu unatekelezwa kwa msaada wa dola 600,000 kutoka kwa shirika la TradeMark…

Read More

Wadau wataka uwekezaji zaidi miradi ya umwagiliaji

Njombe. Wakati Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ikiwasilisha ombi la kuidhinishiwa bajeti ya Sh382.13 bilioni kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wadau wa sekta ya kilimo wameitaka Serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miradi ya kimkakati ya umwagiliaji. Wamesema hatua hiyo itasaidia kukuza kilimo endelevu na cha uhakika, ambacho hakitegemei tena mvua, hasa wakati huu ambapo…

Read More

Chaumma kuhama ofisi, kuteua wakurugenzi wa idara

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeendelea kufanya kufulu kila uchwao, sasa kipo kwenye mchakato wa kutafuta jengo la kisasa litakalosheheni ofisi za watendaji wote wa sekretarieti ya chama hicho ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Mbali na hilo, chama hicho ambacho kwa siku za karibuni kimekuwa sehemu ya mijadala maeneo…

Read More

Chadema katika kitendawili | Mwananchi

Dar es Salaam. Ukiacha ajenda tatu zilizowekwa wazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inapokwenda kwenye kikao cha Kamati Kuu kesho Ijumaa, Mei 23, 2025, yapo mambo mengine magumu yatakayohitaji mijadala na uamuzi mgumu. Kikao hicho kinafanyika katikati ya misukosuko ambayo chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kinapitia, kubwa ikiwa ni utitiri…

Read More