Malezi ya watoto yanavyochochea ubabe katika jamii

Dar es Salaam. Natamani tutafakari jambo hili kwa kina. Nyumbani tumemzoesha mtoto fujo, fimbo, makofi, matusi na aina nyingine za ubabe. Sisi wazazi tunaamini hatuwezi kulinda mamlaka yetu bila kumsababishia mtoto maumivu iwe kwenye mwili wake au hisia zake. Ukiangalia yanayoendelea nyumbani hakuna mazungumzo yenye upendo na mtoto. Tunaamini amani na utulivu kwenye ngazi ya…

Read More

Machungu ya wanawake wanaozaa na wanaume tofauti

Dar es Salaam. Baadhi ya wanawake waliozaa na wanaume tofauti wanakumbana na changamoto za kijamii, kifamilia na kihisia. Wanahisi kutengwa na kulazimika kubeba mzigo wa malezi peke yao huku wakihukumiwa na jamii. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi, baadhi ya wanawake wamefunguka kuhusu maisha yao ya kila siku, wakisema jamii imekuwa ikiwahukumu kwa mtazamo wa juu…

Read More

WAONYWA KUJIHUSISHA NA IMANI ZA KUSHIRIKIANA

 ***** Mkuu wa Polisi Wilaya ya Magu, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Haji Makame, amewataka wananchi kuachana na imani za kishirikina ambazo zimekuwa chanzo kikuu cha mauaji na migogoro ya kijamii. SSP Makame ametoa wito huo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Kisamba, kata ya Lubugu, wilayani humo, ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya…

Read More

Kwa nini mtoto wa mwajiriwa hawi mjasiriamali?

Katika jamii nyingi, kuna mtazamo unaojitokeza mara kwa mara kwamba watoto wa waajiriwa huwa na uwezekano mdogo wa kuwa wajasiriamali wakubwa wanapokua. Ingawa si sheria ya jumla, kuna sababu nyingi za kijamii, kisaikolojia na kimfumo zinazochangia hali hii. Ukweli huu unapaswa kuchambuliwa kwa kina ili jamii iweze kuhamasisha kizazi kipya kujifunza ujasiriamali, bila kujali aina…

Read More

Umuhimu wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana

Katika dunia ya sasa inayobadilika kwa kasi kubwa kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, kijamii na kiuchumi, familia nyingi zimejikuta katika changamoto ya kutafuta usawa kati ya kazi na majukumu ya kifamilia. Mojawapo ya changamoto kubwa zinazowakumba wazazi wa kizazi hiki ni malezi ya watoto, hasa katika kipindi cha awali cha maisha yao ambacho ni nyeti…

Read More

Sh200 milioni zatekeleza miradi ya kijamii Buziba

Geita. Mgodi wa dhahabu wa Mwamba uliopo katika Kijiji cha Buziba, Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita umetumia zaidi ya Sh200 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kijamii ikiwemo ya elimu na afya. Utekelezaji wa miradi hiyo ni sehemu ya mpango wake wa kurejesha kwa jamii, faida ya rasilimali zinazochimbwa kwenye maeneo yao….

Read More

Rais Mwinyi aahidi mamilioni Simba ikitwaa ubingwa CAFCC

Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola  za Marekani 100, 000 (Sh269 milioni) endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Mechi ya Simba dhidi ya Berkane ya Morocco inatarajiwa kuchezwa kesho Jumapili saa 10: 00 jioni katika…

Read More