Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
  • Page 1,359
Habari

Zaidi ya watu 10 wauawa kufuatia shambulio la Israel Gaza – DW – 02.01.2025

January 2, 2025 Admin

Maafisa wa Palestina wamesema shambulio la anga la Israel limewaua zaidi ya watu 10 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto watatu na maafisa wawili wa vyeo

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Sio ajabu Morrison kusajiliwa KenGold

January 2, 2025 Admin

UKIHISI usajili uliofanywa na KenGold kumnasa winga wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison kuwa ni jambo la kushangaza basi wewe amua tu kuachana

Read More
Habari

Shambulio la Israel laua zaidi ya watu 10 Gaza – DW – 02.01.2025

January 2, 2025 Admin

Maafisa wa Palestina wamesema shambulio la anga laIsrael limewaua zaidi ya watu 10 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto watatu na maafisa wawili wa vyeo

Read More
Habari

Kwa nini Watanzania huchelewa kufanya manunuzi?

January 2, 2025 Admin

Katika msimu huu wa sikukuu na mapumziko unapoelekea mwisho, kwa siku chache zilizobakia, wengi watajikuta tena wakiwa katika harakati za kwenda masokoni kununua mahitaji ya

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AREJESHA TABASAMU KWA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU MOSHI

January 2, 2025 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga amekabidhi viti mwendo na vifaa vya shule kwa

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Mara wameamua kuishusha Biashara Utd

January 2, 2025 Admin

WIKI iliyopita ambayo ilikuwa ya mwisho kwa mwaka 2024, haikumalizika vizuri kwa mkoa wa Mara baada ya kamati ya usimamizi na uendeshaji wa ligi ya

Read More
Habari

Waeleza matarajio biashara Kariakoo zikifanyika saa 24

January 2, 2025 Admin

Wakati Serikali ikitangaza kuanza kwa biashara saa 24 katika Soko Kuu la Kariakoo, wafanyabiashara na wachumi wamesema hiyo ni fursa kuongeza mapato kwa Serikali na

Read More
Michezo

Dili la Fountain Gate lamtega Kapama

January 2, 2025 Admin

LICHA ya kutajwa kumalizana na Fountain Gate (FOG), kiungo wa zamani wa Simba, Nassoro Kapama huenda akakutana na rungu la kufungiwa baada ya kudaiwa kusaini

Read More
Habari

Waendesha baiskeli Geita watembezwa kuangalia mradi wa bilioni 4.450

January 2, 2025 Admin

Serikali Mkoani Geita imeendelea kuwa kivutio kwa wakazi wa Mkoa humo hii ni Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan

Read More
Habari

Radi yaua ng’ombe 16 hifadhini Rukwa

January 2, 2025 Admin

Rukwa. Radi imeua ng’ombe 16 katika Kijiji cha Ngolotwa, wilayani Kalambo, mkoani Rukwa. Tukio hilo limetokea Jumatano Januari 1, 2025 wakati ng’ombe hao wakichungwa katika

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 1,358 1,359 1,360 … 1,366 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.