Kamati Kuu Chaumma yateua wakurugenzi wa chama, wamo G55

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimefanya uteuzi wa wakurugenzi katika idara mbalimbali za chama hicho, ikiwajumuisha viongozi waliotoka Chadema na wale waliojiuzulu nafasi zao kuwapisha wanachama wapya. Leo Jumamosi, Mei 24, 2025, kikao cha Kamati Kuu kilichohusisha wajumbe 15, kimefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, jijini…

Read More

Maboresho ya Mahakama yana mchango mkubwa kwa Taifa

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Twaha Mpembenwe amesema kuwa, maboresho ya Mahakama ya Tanzania yaliyofanyika yana mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa Taifa. Mpembenwe ameyasema hayo jijini Dodoma,katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma wakati wa Semina…

Read More

Msimamo wa Mdee kuelekea uchaguzi ‘tungo tata’

Dar es Salaam. Wakati Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee, akitoa msimamo wake kuhusu Chadema kususia uchaguzi na kueleza mwelekeo wa alichoamua katika kugombea ubunge, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa wamekuwa na mtazamo tofauti. Mdee ametoa msimamo wake huo jana, Ijumaa Mei 23, 2025, katika mahojiano yake maalumu na Shirika la Utangazaji la…

Read More