WAFANYABIASHARA MKOANI ARUSHA WAHIMIZWA KUFANYA MAKADIRIO NA KULIPA KODI ZAO STAHIKI KWA WAKATI
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha imewataka Wafanyabiashara mkoani hapo kuhakikisha kwamba wanajenga utamaduni wa kufanya makadirio ya kodi na kulipa kodi zao stahiki kwa wakati. Hayo yamesemwa leo 24 Mei, 2025 na Afisa Msimamizi Kodi Mkuu wa TRA, Bw. Flavian Byabato wakati wa mwendelezo wa Kampeni ya utoaji elimu kwa Mlipakodi ya…