Chadema Mbeya yavunja kambi ya kumsaka Mdude

Mbeya. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimevunja rasmi kambi iliyokuwa imewekwa kushinikiza kupatikana kwa kada wao, Mdude Nyagali, huku kikieleza msimamo wao katika ushiriki wa uchaguzi mkuu na uzinduzi wa kampeni ya ‘No reforms, no election’ mkoani Mbeya. Pia kimewataka wananchi na wafuasi wao kupuuza taarifa za baadhi ya waliojivua uanachama wa chama hicho,…

Read More

Wagombea 18 kuchuana urais CWT, 19 umakamu

Dar es Salaam. Jumla ya wagombea 37 wanatarajiwa kushindania nafasi za Rais na Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Mei 28 na 29, 2025, jijini Dodoma. Kati ya wagombea waliojitokeza, 18 wanawania nafasi ya urais huku 19 wakigombea nafasi ya Makamu wa Rais. Makamu wa Rais wa sasa,…

Read More

Makalla amkingia kifua Shigongo ujenzi wa barabara

Mwanza. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewataka wakazi wa Wilaya ya Buchosa kutomhukumu Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo kutokana na ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Sengerema hadi Nyehunge kutoanza hadi sasa. Makalla amesema Shigongo hana kosa kwa sababu yeye wakati akiwa Mkuu wa Mkoa…

Read More

CBE kujenga maabara za kisasa za viwango

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kujenga maabara za kisasa zitakazoidhinishwa na mashirika ya kimataifa ya viwango ambazo zitakuwa kitovu cha mafunzo, utafiti, na ushauri wa vipimo katika Afrika Mashariki na Kati. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam  na Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga wakati akizungumza na waandishi…

Read More

Rais Nandi-Ndaitwah awafunda wanawake, awapa mbinu za kiuongozi

Dar es Salaam. Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah amesema majaribu na kukatishwa tamaa ni sehemu ya masahibu yanayomkumba mwanamke yeyote anayepata nafasi ya kuwa kiongozi. Jambo baya zaidi, amesema majaribu hayo hayatoki kwa wanaume pekee, bali jamii kwa ujumla, wakiwemo wanawake wenzake. Amelisisitiza hilo, akihusisha na maendeleo ya teknolojia, akisema mitandao ya kijamii inatumika zaidi…

Read More