Namna ya kuvunja mzunguko wa kuishi mshahara kwa mshahara

Kuishi kutoka mshahara hadi mshahara ni mzunguko wa kuchosha unaowatega mamilioni ya watu wanaofanya kazi kwa bidii katika hali ya sintofahamu ya kifedha. Kila mwisho wa mwezi unahisi kama kusubiri kufikia sufuri, ukisubiri mshahara mwingine ili kuendelea kuishi. Licha ya kufanya kazi kwa saa nyingi, au hata kushikilia ajira zaidi ya moja, pesa huonekana kutoweka…

Read More

Athari za ukosefu wa fedha ‘ndogo’ kwenye mzunguko

Wiki iliyopita, kulikuwa na mjadala kuhusu uwiano wa mzunguko wa fedha nchini, ambapo fedha zenye thamani kubwa manthalani noti zenye thamani ya Sh10,000 na Sh5,000 zinaonekana kuzidi zile zenye thamani ndogo kama vile Sh 500, 1,000, na 2,000. Hili ni suala ambalo limekuwa likijitokeza mara kwa mara na limejadiliwa hapa kwenye safu yetu ya Fedha…

Read More

MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA YA MADABA AZURU HOSPITALI YA WILAYA, AWATAKA WANANCHI WAITUMIE KIKAMILIFU

Madaba_Ruvuma. Tarehe 21 Mei 2025, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, Ndugu Sajidu Idrisa Mohamed, amefanya ziara katika Hospitali ya Wilaya ya Madaba kwa lengo la kujionea maendeleo na maboresho makubwa ya huduma za afya yanayoendelea kutekelezwa hospitalini hapo. Katika ziara hiyo, Mkurugenzi alipata fursa ya kupokea huduma ya matibabu kutoka kwa wataalamu…

Read More

Simba, Yanga kwenye ligi ya hat trick

LIGI Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, inaenda ukingoni ambapo hadi sasa zimefungwa hat trick nne kutoka kwa wachezaji wa Simba na Yanga kila mmoja wao, ingawa nyota wa timu hizo wamekuwa ni moto wa kuotea mbali kwa wapinzani. Kwa misimu minne mfululizo kuanzia msimu wa 2021-2022 hadi sasa nyota wa timu hizo ndio wanaoongoza…

Read More