Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
  • Page 1,367
Kimataifa

Ripoti maelezo ya hali mbaya ya haki za binadamu nchini Ukraine karibu miaka mitatu baada ya uvamizi wa Urusi – Masuala ya Ulimwenguni

January 1, 2025 Admin

Ikijumuisha kipindi cha Septemba hadi Novemba 2024, ripoti hiyo inaeleza mashambulizi makali ya Urusi kwenye maeneo yenye watu wengi, mgomo wa kimakusudi wa miundombinu ya

Read More
Habari

Lissu: Viongozi wa dini, mabalozi wawe watazamaji uchaguzi Chadema

January 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadem-Bara, Tundu Lissu amependekeza viongozi wa dini na mabalozi wa nchi marafiki, waalikwe kuwa sehemu ya watazamaji wa uchaguzi

Read More
Habari

Ni kazi gani hautakubali kuifanya unapokuwa msomi?

January 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ni kazi gani hauko tayari kuifanya ukiwa na elimu kuanzia ngazi ya shahada? Majibu ya swali hilo yanaakisi mitazamo ya vijana hasa

Read More
Habari

‘Jamii iwakumbue watoto waishio mazingira magumu’

January 1, 2025 Admin

iDar es Salaam. Wakati msimu wa wanafunzi kurudi shuleni ukikaribia, jamii imeaswa kuwakumbuka watoto wanaoshi katika mazingira magumu ili wapate vifaa vya shule kama wanavyopata

Read More
Habari

Usilojua kuhusu vumbi la Kongwa

January 1, 2025 Admin

Dodoma. Kati ya historia kubwa zilizopo mkoani Dodoma ni pamoja na kimbunga kilichokuwa kinasafirisha vumbi kwa umbali mrefu, maarufu kwa jina la ‘vumbi la Kongwa’.

Read More
Habari

Kitongoji cha ajabu, hakina huduma hata moja ya kijamii

January 1, 2025 Admin

Dar/Morogoro. Zikiwa zimesalia siku 11 shule kufunguliwa, zaidi ya watoto 90 wa Kitongoji cha Mbuyuni hawataanza darasa la kwanza kutokana na kukosekana kwa shule ya

Read More
Michezo

5G yamliza Sultan, asaka beki fasta

January 1, 2025 Admin

BAADA ya kupata aibu ya kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba Queens, kocha mpya wa Alliance Girls, Sultan Juma ameitupia lawama safu ya ulinzi

Read More
Habari

Wasira asimulia jinsi Werema alivyochangia upatikanaji wa rasimu ya Katiba

January 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Steven Wasira  amezungumzia mchango wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali  mstaafu, Jaji Frederick Werema katika rasimu ya Katiba iliyopendekezwa mwaka

Read More
Michezo

KO ya Mama imefichua ukweli

January 1, 2025 Admin

NGUMI za kulipwa ndio mchezo ulioifuatia soka kwa ubora mwaka 2024, na wadau wa michezo  wanahofu michezo mingine kuendelea kudorora wakati soka ikidaiwa itazidi kuongoza

Read More
Habari

Mikoa minne kuanza uboreshaji daftari la mpigakura

January 1, 2025 Admin

Songea. Baada ya kuanza katika Mikoa mbalimbali ikiwemo Kigoma, hatimaye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura umefika wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku wananchi wakionywa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 1,366 1,367 1,368 … 1,371 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.