Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
  • Page 1,369
Habari

Wananchi Lupembe wapunguziwa adha ya kukodi usafiri kwa ajili ya wagonjwa

January 1, 2025 Admin

Wananchi wa kata tano za Jimbo la Lupembe wilayani Njombe, wanatarajia kuondokana na adha ya kukodi usafiri kwa gharama kubwa pamoja na kupandisha wanawake wajawazito

Read More
Michezo

Straika Mashujaa kuibukia AS Vita

January 1, 2025 Admin

MASHUJAA FC iko kwenye hatua za mwisho kufanya biashara na AS Vita ya DR Congo ambayo inamtaka mshambuliaji Ismail Mgunda. AS Vita inamtaka Mgunda kwenda

Read More
Habari

Usaili wa walimu uliositishwa watangazwa tena

January 1, 2025 Admin

Dodoma. Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imewataka waombaji wote wa kada ya ualimu ambao usaili wao ulisitishwa kwa muda kuwa

Read More
Michezo

Chukwu: Ubora umenirudisha Singida | Mwanaspoti

January 1, 2025 Admin

KIUNGO wa zamani wa Rivers United ya Nigeria, Morice Chukwu anayeichezea Singida Black Stars, amesema kuwa kurejea katika kikosi hicho kunadhihirisha ubora alionao. Chukwu ambye

Read More
Habari

DC MALINYI:ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI NGOMBO LINAKWENDA VIZURI

January 1, 2025 Admin

Na Beatus Maganja, Malinyi Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema zoezi la kuwalipa fidia wananchi wa Kijiji cha Ngombo kilichopo ndani ya

Read More
Michezo

Maajabu mwamuzi wa Yanga, TP Mazembe

January 1, 2025 Admin

YANGA inaingia kambini leo kuendelea na maandalizi kabla ya kukutana na TP Mazembe, Jumamosi Januari 4, lakini tayari imepewa mwamuzi wa bahati atakayeamua mchezo huo

Read More
Michezo

Kocha KenGold amshtukia Morisson, Yondani naye ndani

January 1, 2025 Admin

Wakati staa wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison akitua KenGold, benchi la ufundi la timu hiyo limeandaa programu maalumu kwa nyota huyo raia

Read More
Michezo

Safari ya Tunisia, Ngoma atoa ujanja mapema

January 1, 2025 Admin

WAKATI kikosi cha Simba kikielekea Tunisia alfajiri ya leo kuifuata CS Sfaxien, kiungo wa timu hiyo ambaye pia ni nahodha msaidizi, Fabrice Ngoma ametuma ujumbe,

Read More
Michezo

Kocha amshtukia BM33 ampa programu maalumu, Yondani naye ndani

January 1, 2025 Admin

Wakati staa wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison akitua KenGold, benchi la ufundi la timu hiyo limeandaa programu maalumu kwa nyota huyo raia

Read More
Habari

“Wanawake wajasiriamali wapewa mafunzo maalum,Aweso atoa Mil 10 kuwawezesha”

January 1, 2025 Admin

Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso amechangia kiasi Cha shilingi Mil.10 kwa wajasiriamali wadogowadogo 600 waliopatiwa mafunzo maalum yanayoratibiwa na Mbunge wa viti maalum Mkoa wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 1,368 1,369 1,370 1,371 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.