Tume ya uchaguzi ifafanue utata uliopo

Kwa hali ilivyo sasa na kwa kuwa hakuna dalili zozote za mabadiliko, watu wa Zanzibar wanaelekea kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika mazingira yanayofanana kwa kiasi kikubwa na yale ya uchaguzi wa mwaka 2020. Uchaguzi huo ulidaiwa na baadhi ya vyama vya siasa na wapigakura kwamba uligubikwa na mizengwe isiyoelezeka. Hata viongozi wa…

Read More

‘Mtiti’ majimbo ya Dodoma, kwa Kibajaji watatu watajwa

Bajaji waliyosafirishiwa wananchi wa Jimbo la Mtera (Mvumi) miaka 15 iliyopita bado iko barabarani, lakini watu wanne wanatarajia kuipanda. Lengo ni kutaka kushindana nayo katika mbio za kuliwania jimbo hilo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu. Lakini inaelezwa wenye kutegua kitendawili hiki ni wajumbe ambao wamebeba maono yake, licha ya ukweli kuwa safari bado…

Read More

Taharuki Hoteli ya Lark, Wafanyakazi Wafungiwa nje

Na Mwandishi Wetu WAFANYAKAZI 20 wa hoteli ya Lark iliyopo ndani ya jengo la Noble Centre Dar es Salaam, linalomolokiwa na CRJE wamezuiwa kuingia ndani ya hoteli hiyo kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni mgogoro wa kimkataba baina ya mwekezaji wa hoteli hiyo na wamiliki wa jengo. Hatua hiyo imezua taharuki na vilio miongoni mwa…

Read More

TDB- MAZIWA YALIYOSINDIKWA NI SALAMA

KUELEKEA Kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Maziwa mwaka huu, Bodi ya Maziwa nchini imeendelea kutoa wito kwa wananchi kuongeza unywaji wa maziwa, hasa yale yaliyosindikwa, ili kuboresha afya, lishe bora na kuunga mkono sekta ya maziwa nchini. Akizungumza na waandishi wahabari leo Mei20,2025 katika mafunzo yaliyotolewa jijini Dar es salaam, Kaimu Msajili Bodi ya…

Read More

Sababu Dk Mwinyi kuteua wakurugenzi wapya Unguja, Pemba

Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwateua wakurugenzi wapya wa halmashauri na manispaa 11 katika visiwa vya Unguja na Pemba. Taarifa iliyotolewa leo Mei 20, 2025 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Mhandisi Zena Said imeeleza kuwa uteuzi huo…

Read More