WAZIRI ULEGA AAGIZA IDADI YA MAFUNDI SANIFU KUONGEZWA

  Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza juhudi za kusajili wataalam wa kada ya mafundi sanifu na kuwajengea uwezo, kwani idadi iliyopo sasa hailingani na ile wanaostahili kusajiliwa.   Waziri Ulega alitoa agizo hilo leo tarehe 22 Mei, 2025 mkoani Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya saba…

Read More

SERIKALI YA ZANZIBAR YA KUSANYA ZAIDI YA BILION 300 KUPITIA HATIFUNGANI YA KIISLAMU -SUKUK ZANZIBAR

  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeandika historia mpya ya kiuchumi baada ya kufanikisha ukusanyaji wa zaidi ya shilingi bilioni 300 kupitia hatifungani inayozingatia misingi ya Kiislamu, maarufu kama Sukuk Zanzibar. Mafanikio hayo yamepatikana kupitia soko la awali, ambapo wawekezaji mbalimbali walijitokeza kuchangamkia fursa hiyo.   Fedha zilizopatikana kupitia Sukuk Zanzibar zitaelekezwa moja kwa moja katika…

Read More

Kocha Simba afichua walivyofurahia Azizi Ki kutimka

KITENDO cha Aziz KI kukubali dili la kutua Wydad, atakuwa anaweka kwenye waleti mshahara wa Sh72.3 milioni kwa mwezi. Ni mara mbili ya aliokuwa akilipwa Yanga. Kingine ni kwamba mkataba wa Aziz KI na Wydad utakuwa wa miaka miwili akianza kucheza michuano ya Klabu Bingwa Dunia itakayofanyika Juni 15, 2025 hadi Julai 13, 2025, huko…

Read More

Tanroads yapangua watendaji kusuasua mradi wa BRT4

Dar es Salaam. Takriban wiki moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kutoa maagizo ya kufanyika kwa uchunguzi dhidi ya mwenendo wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), awamu ya nne, Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) imetangaza kufanya mabadiliko ya baadhi ya watendaji wa BRT.  Mabadiliko hayo yanamhusu Mhandisi Mkazi wa Mradi…

Read More

RS Berkane yatua  ikiingiwa ubaridi

WAKATI joto la fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho la CAF likizidi kupanda Zanzibar, kikosi cha RS Berkane ya Morocco kimetua salama nchini, huku kikiwa na presha ya mechi ya Jumapili dhidi ya Simba itakayopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex. Kocha mkuu wa Berkane, Mtunisia Mouin Chaabani na nahodha wa timu hiyo, Issoufou…

Read More

WAZIRI ULEGA AAGIZA IDADI YA MAFUNDI SANIFU KUONGEZ

::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza juhudi za kusajili wataalam wa kada ya mafundi sanifu na kuwajengea uwezo, kwani idadi iliyopo sasa hailingani na ile wanaostahili kusajiliwa. Waziri Ulega alitoa agizo hilo leo tarehe 22 Mei, 2025 mkoani Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya saba ya…

Read More